Tatizo lako wewe unabisha bila hoja au ushahidi unaushabiki kama ule wa Yanga na Simba wa hisia sio facts,
Ushahidi na facts gani amazo wewe unazitaka? Facts ni mpaka zikufurahishe wewe? Haya twende kwenye hizo zako unaziita facts kwa akili zako za kitoto
Ukraine inajutia kwasbb imeingia hasara kubwa kuliko faida itakao pata kutoka EU au Nato,
1. Imepoteza 20% ya aridhi yake kuenda Russia
Hiyo 20% unayosema Ukraine ameipoteza na kupata hasara, kwa taarifa yako aliyepata hasara zaidi ni Russia. Kabla Russia hajaingia kule mazima alikuwa tayari ameweka waasi akiwasaidia silaha na mafunzoili wajitegnge. Ukraine alivoamua kujiunga EU Russia akaamua kutoka mafichoni na kuingia front kupambana na alipeleka silaha nyingi na kubwa na vikosi vya askari vilivyofyekwa na silaha kuharibiwa. Kwa akili zako wewe unadhani mgogoro kwnye hilo eneo ulianza February , 2022..
2. Imeingia katika debt trap ya miaka haiwezi kulipa huo mkopo wakuendeshe vita bila kupoteza uhuru wake kwa EU na US
Acha kujidanganya, Ukraine hakopi ili kupigana vita, kinachofanyika anasaidiwa na sababu ya msaada huo ni kwamba Ukraine kumzuia Russia ina faida kwao
3. Viwanda via Ukuraini muhimu kama via nishati vimeharibiwa.
angeweza kuwa na hivyo vowanda lakini akakosa soko. Kingine hiyo ndiyo maana ya vita. Kwamba unatwambia siku Kagame au Kenya akiamua kupora ardhi ya Tanzania aangaliwe tu sabsbu anaweza akashambulia viwanda na kuviharibu? Hzi akili zinatokana na makapi ya vitu gani?
4. Kllimo cha ngano akipo tena kina kua controlled na Russia.
Kwa hiyo ulitaka pwatulie nchi yao ichukuliwe kisa wasije kushindwa kulima ngano?
5. Nguvu kazi na jeshi lake liko exhausted
kwa akili zako unadhani Russia ndiye yupo imara? Unajifanya ulikuwa umelala pale vikosi vyake vilipopukutishwa hadi akaamua kutumia mercenary wa Wgner? Alipoona Wagner inamzidi umaarufu akai dissolve na kurudisha vikosi vyake ambavyo vikachapwa tena mpaka akaenda North Korea kuomba msaada wa wanajeshi? Hayo unajifanya hauyaoni?
6 US, EU na Nato baada yakjmuhidi kujiunga na EU na Nato wameshindwa kutoa ratiba yake ya kujiunga manaake wamemsaliti.
Hizo ni hisia zako kuna utaratibu wa jinsi ya kujiunga NATO. Ukraine tayari ipo vitani, ikiingia NATO italindwa vipi? Mpango wa kuchelewesha umelenga kuhakikisha kwanza Ukraine inakomboa maeneo yake ikiwemo Crimea, kinyume cha hapo mkataba huo hautakuwa na maana kwa Ukraine na watakosa nguvu ya kisheria kuilinda kwenye maeneo yanayokaliwa na Russia. Hili nalo linakupa shida kulielewa?
7. Raia ya Ukrain 60% ni wakombizi nje ya nchi yao hamna production manaake tena.
Yes raia ni lazima waondoke, serikali yao pia iliwahimiza kuondoka na wakaziomba nchi za Ulaya, Marekani na Canada ziwapokee na kuwatunzia wananchi wao hadi hapo watakapomaliza vita. Huko walipoenda kuna Programs kpwa ajili ya wakimbizi kutoka Ukraine, maana yake vita ikiisha Ukraine itapiga hatua sana sababu hao 60% tena siyo 60% ni 75% wapo nje ya Ikraine wanaendelea kupatiwa program za kuiendeleza Ukraine baada ya vita. Mtafute
britanicca atakuelezea vizuri zaidi kuhusu hili. Siyo sawa na nyie ambapo wakimbizi wenu huishia kuishi kama machokoraa
Kwaufupi Ukraine imeingia hasara kubwa ambao ni irreversible wanajutia kuaminishwa na US na EU wakati US inahitaji Sanaa Russia kwa usalama wake na biashara kuliko Ukraine.
Sababu hutaki kusikia hasara kuhusu Russia, ila kwa taarifa yako Putin ameshatamka kwamba hii vita ni bora iishe tu.