Gerald Hando apendekeza JF ifungiwe

Gerald Hando apendekeza JF ifungiwe

Status
Not open for further replies.
Hando watu wanajua mambo yako mengi sana,wacha kujilesi,utachanwa live.
 
Alikuwa akiongea juu ya vita kati ya Ruge na Lady Jay Dee na kushangaa kwanini serikali haifanyi kitu juu ya JF, ambayo inaruhusu watu kutuma posts zinazomchafua boss wake na kituo chake.

huyu ndo atakua yahaya huyu..........
 
Hivi ukimtoa Millard ayo nani hana tabia za umbea umbea pale clouds?!

1.Hando
2.Barbra
3.Bonge
4.Gea
5.Dina
6.B12 (B shoga)
7.Mchomvu
8.Fetty
9.Zamaradi
10. KIBONDE (mjua yote)
11.Musa
12.Wasiwasi

Kufanya kazi pale lazma upite interview ya UMBEA

Bila kumsifia boss mshahara haupandi

Wasameheni bure tu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
huyo ni mpumbavu aliyepindukia [color=#f0000]itafungwa clouds bt not jf[/color] au atakua anazungumzia forum ya nyumbani kwake? Very low poor hando

'kama aliifungua yeye JF mwambie akaifunge sisi funguo hatuna bhandugu...'
 
Bajeti ya Buku ten imekwisha nini ndio maana wanaomba JF ifungwe wakati wanajipanga upya?!!
 
Haya tumemsikia tutaanza kutetea haki za mashoga hapa JF maana wamejazana pale Clouds Media na wanaliwa kama mboga na Gerald Hando ni one of them bila kumsahau Mchovu.

Hivi kwenye kiboga hapo huwa kuna ukweli?
 
anawaloga siyo bure, yn wameng'ang'ania km ruba

Awaroge??? Huo ulozi kautolea wapi?? CV mamaa! Vijana wa ghorofani wanamng'ang'ania Ruge coz vyeti havisomi akiwatosa yeye hawaajiriki.. Ruge peke yake ndo anaajiri Mburulaz hapa mjini. Unakumbuka ile issue ya mgomo wa presenters wa Power Breakfast, Hando aliwasaliti wenzake akijua Clouds ndo mama yake na baba yake kina Fina na Masudi wakaenda kuhusttle kwingine. Watangazaji wengine wanadungwa na mimba na biti la kutosha wapo tu! Umaskini kidonda ndugu yangu hata ukichokolewa upenuni utasema hewala
 
Hivi ukimtoa Millard ayo nani hana tabia za umbea umbea pale clouds?!

1.Hando
2.Barbra
3.Bonge
4.Gea
5.Dina
6.B12 (B shoga)
7.Mchomvu
8.Fetty
9.Zamaradi
10. KIBONDE (mjua yote)
11.Musa
12.Wasiwasi

Kufanya kazi pale lazma upite interview ya UMBEA

Bila kumsifia boss mshahara haupandi

Wasameheni bure tu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Arnold Kayanda alikuwa anajitahidi kwenye Jahazi bt now amerudi school.
 
Si ajabu maana alishapendekeza hata bunge lisionyeshwe live
 
huyo pimbi kweli kwa sababu yeye ameajirawa na Ruge basi wote tumwogope hajui humu ndani wamo hadi mabosi wa Ruge wamo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom