Gerald Hando: Diva ni mtangazaji haramu, kakengeuka, katuweka kwenye wakati mgumu

Gerald Hando: Diva ni mtangazaji haramu, kakengeuka, katuweka kwenye wakati mgumu

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Kwenye maisha haya usisubiri raha kuwajua watu wako wanaokuzunguka bali subiri shida zikupate ndio utawajua watu wanaokuzunguka!

Bado nashangaa sana pamoja na madhaifu ya huyu mtangazaji DIva kama walivyo binadamu wengi ni wazi hata kama mtu hampendi au unamchukia lakini linapomkuta tatizo ni nyakati ambazo mnaweka silaha chini na kumuombea atoke kwenye matatizo na ayamalize ili kama mnaendelea kupambana upambane nae akiwa yuko huru!

Inawezekana vipi taasisi na media kama ya wasafi kuwa na shida kubwa hivi? Inawezekana vipi mtangazaji mwenzao amekutwa na matatizo lakini wanafurahi na kuonesha chuki za wazi namna hii?

Bado najiuliza hivi Diva hata akirudi anawezaje kuendelea kuwaangalia usoni watangazji wenzake wanaotamani afungwe? Amewakosea nini cha zaidi? Hii ni zaidi ya michango.

Ukweli ni kwamba watangazaji wa Wasafi kuendelea kuonesha chuki namna hii ni kama wanapambana na mtu aliyefungwa mikono na mdomo nawaomba wasubiri atoke ili wapambane vizuri!

Hii ni zaidi ya Vita ya uchangishaji michango ya wahanga!

Diva amewakose nini ndugu zake?

 
Bado najiuliza hivi Diva hata akirudi anawezaje kuendelea kuwaangalia usoni watangazji wenzake wanaotamani afungwe? Amewakosea nini cha zaidi? Hii ni zaidi ya michango……
Diva huwa hana aibu. Atarudi na kuendelea na kazi kama kawaida. Ukimfatilia vizuri diva mambo yake unaweza hisi ana matatizo ya akili.

Itakuwa hayupo vizuri na wafanyakazi wenzie.
 
Kwenye maisha haya usisubiri raha kuwajua watu wako wanaokuzunguka bali subiri shida zikupate ndio utawajua watu wanaokuzunguka!

Bado nashangaa sana pamoja na madhaifu ya huyu mtangazaji DIva kama walivyo binadamu wengi ni wazi hata kama mtu hampendi au unamchukia lakini linapomkuta tatizo ni nyakati ambazo mnaweka silaha chini na kumuombea atoke kwenye matatizo na ayamalize ili kama mnaendelea kupambana upambane nae akiwa yuko huru!

Inawezekana vipi taasisi na media kama ya wasafi kuwa na shida kubwa hivi? Inawezekana vipi mtangazaji mwenzao amekutwa na matatizo lakini wanafurahi na kuonesha chuki za wazi namna hii?

Bado najiuliza hivi Diva hata akirudi anawezaje kuendelea kuwaangalia usoni watangazji wenzake wanaotamani afungwe? Amewakosea nini cha zaidi? Hii ni zaidi ya michango.

Ukweli ni kwamba watangazaji wa Wasafi kuendelea kuonesha chuki namna hii ni kama wanapambana na mtu aliyefungwa mikono na mdomo nawaomba wasubiri atoke ili wapambane vizuri!

Hii ni zaidi ya Vita ya uchangishaji michango ya wahanga!

Diva amewakose nini ndugu zake?

 
Sijaona chuki yeyote hapo wanasimamia kwenye haki,yaani wewe ulitaka kwa vile ni mfanyakazi mwenzao ndio wamsifie hata kama kafanya ujinga,huu unafki wa kufumbiana macho ndio unaoleta matatizo na maafa yanayotokea sababu ni hiyo.
 
Huyu manzi ana kimavi si hapo tu alipo ila alipotoka kabla ya hapo alikuwa anachukiwa kinoma,ni hasla omba omba,ana mashauzi kama ana kunya keki,na anadharau utadhani ni eloni maski,kifupi mbali na Ile sauti nzuri ana damu ya kunguni ila pia mganga itakuwa kachezesha vibuyu maana si kwa chuki za wazi hivi.Na ukiniuliza kama alichangisha ili ajipigie,nitasema absolutely.
 
ukiwasikiliza Hando,Zembwela na Kitenge kwenye kipindi chao kile cha asubuhi mambo wanayoongea na makelele wanayopiga kama huwajui unaweza dhani ni watoto wa 2000 hapo,umri wao hawafanani na mambo wanayofanya kwenye kile kipindi yani wao wanajiona sawa na yule Mussa Kipanya...lisaa lizima wanasoma habari mbili tu za magazeti muda uliobaki wao mikelele na kucheka

ni watu wazima hovyo sana,nimemsikia sana Hando maoni yake kwenye hili swala la Diva na Niffer ama kwa hakika walikuwa kama wametumwa vile,mtu unayefanya nae kazi ofisi moja huwezi kumsimanga vile hadharani,alichokifanya Hando nilitegemea labda afanye mtu km Juma Lokole

baada ya ishu kuisha Diva asingerudi tena kufanya kazi wasafi,wale watakuwa wametumwa na mtu wamule mule redioni,akaombe tu kazi kwa KIBA
 
Huyu manzi ana kimavi si hapo tu alipo ila alipotoka kabla ya hapo alikuwa anachukiwa kinoma,ni hasla omba omba,ana mashauzi kama ana kunya keki,na anadharau utadhani ni eloni maski,kifupi mbali na Ile sauti nzuri ana damu ya kunguni ila pia mganga itakuwa kachezesha vibuyu maana si kwa chuki za wazi hivi.Na ukiniuliza kama alichangisha ili ajipigie,nitasema absolutely.
Familia ya kitajiri MALINZi wa TFF na mmiliki malori Tz ,ndo dingi yake

Gerard hando ,inawezekana alishatupia ndoano ikapindisha ncha na pweza ..
 
Hata kama Diva ana matatizo nafikiri anahitaji msaada zaidi kuliko kumsimanga.

Tunaweza tukachukulia poa ila baadaye mtu anaweza akachukua maamuzi ya ajabu tukabaki kulaumiana.
 
Back
Top Bottom