"Mimi nilikuwa namuhudumia mteja, sasa akawa amekaa vibaya. Nikapatwa na hamu, so nikampigia mke wangu diva aje so nikambong'oa pale nikapiga, sasa kuna shida mtu akimla mkewe?"
Sdhani kama wanataka mwenzao afungwe bali hapo wanachagiza tu ili kutobias maana wakimbeba wataonekana wanamachaguo so inabidi na yeye achapwe hivyo hivyo mdogo mdogo.