Kada Mzalendo
Senior Member
- Oct 9, 2024
- 142
- 97
"Kumpata na kumhoji Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Emanuel Nchimbi ni rahisi kuliko Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika," Gerald Hando - Mwandishi wa Habari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nijuavyo kama hauko vizuri upstairs."Kumpata na kumhoji Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Emanuel Nchimbi ni rahisi kuliko Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika," Gerald Hando - Mwandishi wa Habari.
Ni kweli kwasababu huyu majani ana uhakika wa kuto kutekwa kama huyu makaki anavyo hofia."Kumpata na kumhoji Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Emanuel Nchimbi ni rahisi kuliko Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika," Gerald Hando - Mwandishi wa Habari.
mnyika yuko bize sana kuandaa press conferences na malalamiko."Kumpata na kumhoji Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Emanuel Nchimbi ni rahisi kuliko Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika," Gerald Hando - Mwandishi wa Habari.
Hilo la trust ni kweli. Hata ukifuatilia coverage ya matukio kwenye vyombo vya habari vya Umma ambavyo kila Mtanzania anachangia kuviendesha kupitia kodi anayolipa utaona havirushi maudhui ya vyama vya upinzani kwa viwango vinavyotolewa kwa CCM hasakatika maudhui yasiyosifia."Kumpata na kumhoji Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Emanuel Nchimbi ni rahisi kuliko Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika," Gerald Hando - Mwandishi wa Habari.
Mambo ya kupangiana haya"Kumpata na kumhoji Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Emanuel Nchimbi ni rahisi kuliko Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika," Gerald Hando - Mwandishi wa Habari.
Mambo ya kupangiana haya"Kumpata na kumhoji Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Emanuel Nchimbi ni rahisi kuliko Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika," Gerald Hando - Mwandishi wa Habari.
😲🤔Nijuavyo kama hauko vizuri upstairs.
Huwezi mhoji Myika yule bwana ana akili sana point 7 form four. point 3 advance
Dr.Nchimbi ameunga unga pale mzumbe . Huyu anaweza hojiwa hata na zembwela
Hahaha, jana niliangalia taarifa ya habar chanel 10 aubuhi. Mwandishi aliwahoji viongozi wa vyama vya upinzani namna zoezi la kupitisha wagombea lilivyoenda wagombea waliohojiwa ni wale wa CCJ na ADC.Ni rahisi kumhoji Dr. Nchimbi kwa kuwa media za ndani ni chawa wa ccm. Hivyo Mnyika anakataa mialiko ya media za ndani kwakuwa haviamini kamwe kuwa vitanukuu alichokizungumza kwa namna aliyokusudia.
Unataka wawe machawa kama wewe?Tatizo la Chadema wanaaamini wanaakili kushinda watanzania wote.
Wanawadharau mpaka wapiga kura wao.