Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Ona chawa huyu!mnyika yuko bize sana kuandaa press conferences na malalamiko.
yuko Free zaidi spaces š
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona chawa huyu!mnyika yuko bize sana kuandaa press conferences na malalamiko.
yuko Free zaidi spaces š
vipi tena kukurupuka na mihemko yote hiyo ndugu mshirikina?Ona chawa huyu!

Bro naomba niulize, hvi ni kwa nn kila mtu aliye smart hapa jukwaani hakubaliani na CCM na namna hii nchi inavoendeshwa kwa ujumla?? Hii inatupa picha gani?Mambo ya kupangiana haya
Kwakuwa CCM smart ilishakufa tumebaki na chawa na kunguni kila mahaliBro naomba niulize, hvi ni kwa nn kila mtu aliye smart hapa jukwaani hakubaliani na CCM na namna hii nchi inavoendeshwa kwa ujumla?? Hii inatupa picha gani?
ššmnyika yuko bize sana kuandaa press conferences na malalamiko.
yuko Free zaidi spaces š
Uzi ufungwe hapa ndio mwishoNi rahisi kumhoji Dr. Nchimbi kwa kuwa media za ndani ni chawa wa ccm. Hivyo Mnyika anakataa mialiko ya media za ndani kwakuwa haviamini kamwe kuwa vitanukuu alichokizungumza kwa namna aliyokusudia.
Wa ccm, haofii kutekwa, kuumizwa,anatumia rasilimali za nchi, hata akiamua akae ofcn akijamba Jamba, Hana shida, uchaguzi wa chsma chake, anatumia dola, kushinda,"Kumpata na kumhoji Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Emanuel Nchimbi ni rahisi kuliko Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika," Gerald Hando - Mwandishi wa Habari.
Okay kila mtu chawa.Unataka wawe machawa kama wewe?
Kwa hiyo na wewe unataka tuamini kuwa Chadema wanajifanya wana akili sana kupita Watanzania wengine!Okay kila mtu chawa.
Tukipishana mawazo
Kazi sanaa
I secondedKwa hiyo na wewe unataka tuamini kuwa Chadema wanajifanya wana akili sana kupita Watanzania wengine!
Ujinga mkubwa sana!
Hata kwa kuandika hivi umeshajionyesha kuwa wewe ni mjinga šKwa hiyo na wewe unataka tuamini kuwa Chadema wanajifanya wana akili sana kupita Watanzania wengine!
Ujinga mkubwa sana!
Nimecheka sana, Hando anasema njmi rahisi sana kumpata Katibu mkuu wa ccm kuliko wa cdm, lakini akaulizwa umewahi kumuita na kumuhoji Nchimbi, akabaki anazungukazunguka tu. Wangalau huyo jammaa mweupe wa Wananchi anaongea kinachoeleweka.
Bro kwa mwanasiasa kumgomea vyombo vya habari anapata wapi political publicity? Hivi unajua John Mnyika anaweza kupita Kariakoo na watu wasimjue? Je, politically I sahihi?Mnyika Akiongeaa Kwa fact mtaanza kusemaa analeta uchochezi ,Bora iwe ngumu kuendelea kufanya naye mahojianoo
Sio kama za kwako mzee ,hadi unayia hurumaHuyu mzee toka amefiwa na mke wake akili zimeyumba kabisa
UWT jifunzeni kuandikaSio kama za kwako mzee ,hadi unayia huruma