Geranimo E.K.I.A: Kutoka Makao Makuu ya CIA Langley, Oparesheni Ya Kukamatwa Osama Bin Laden

Natafakari sana juu maisha ya huyu Osama nn kilitokea mpaka kuwa na hasira na Marekani? mleta uzi ebu dadavua kama na hilo lipo kwenye maktaba yako.
Udini.na kutaka kufanya nao waonekane kua wana nguvu ya kupambana nao,mwenzao America anapambana hadharani wao wanapambana kwa kujificha
 
Duu, hili jambo lilikula billions of money aisee. Asante mkuu kwa Uzi huu sisi tunaopenda mambo haya tunapata usingizi vizuriiiii.

 
The Osama issue was created to destroy those who are against Zionism ideology but what you see on media it is illusion.
 
Pakistan Intelligence caught Osama..housed him karibia na millitary barracks..wakawa tu wana negotiate price ya kumuuza kwa wamarekani, waka settle for 260 million usd..au ni conspiracy
 
Dah aiseee!usiache kuni tag mkuu,mara utoapo nyuzi zako.kuna viwili nimepata kwanza story yenyewe,lakini aina ya uandishi ni shule tosha.
Nashukuru sana Mkuu! Bila shaka nitakumbuka kukutag nikiweka uzi mwingine
 
Pakistan Intelligence caught Osama..housed him karibia na millitary barracks..wakawa tu wana negotiate price ya kumuuza kwa wamarekani, waka settle for 260 million usd..au ni conspiracy
Its just a conspiracy theory! Kiufupi kuna hundreds of conspiracy theories surrounding bin laden capture.. Wengine wanakwambia kuna afisa wa ISI ('usalama wa taifa' ya Pakistan) ndio aliwatonya wamarekani kuhusu location ya makazi ya Osama.. Wengine wanakwambia Pakistan walikuwa wanafahamu juu ya oparesheni ya Osama lakini walikubaliana na marekani waeleze kuwa Pakistan hawakujua kuhusu mission yao ili kuepusha serikali kupingwa na raia kwasababu majority ya wapakistan wanamuona Osama kama shujaa..

Hizi theories ziko nyingi nyingi sana
 
Thread Nzuri sana ...nimeisoma Mara Mbili...hongera mleta uzi.

Siku si nyingi nahisi kuna mtu atakuja na ID ya "Geranimo" au "EKIA"....hahahaaa

Jf laha sana
 
Hii story ipo vzr japo, kunatarifa ambazo zinapingana,kunawatu wanasema sept 11 ulikuwa ni mpango wa usa wenyewe,
Na baada ya kufanikiwa wakatafuta njia ya clear story ndo ikadondoka kwa geramino...

Ukifuatilia hii story kunamaswal mengi sana, kwa namna usa ilivyo na interijensia hakuna tukio linaloweza kifanyika lisifahamike, ni mtu wa africa tu ndiye anaeweza kukubali hilo,
 
Labda hyo kitu Mkuu ndo ilisababisha Geranimo afanywe mbuzi wa kafara


 

Attachments

  • 1473920048309.jpg
    76.5 KB · Views: 56
Nimechukua masaa 3 kuisoma hii hbr kiumakini kbsa had kulikuwa na wagen nikawaaga waje siku nyingine....sure nilikuwa nahangaika sana lini nitapata undani wa hii hbr b4 sijazeeka ama kuitwa mbinguni....ninefurah sana....asnte sna mwandishi
Mkuu hyo uliyosoma ni cover story, original yake ipo usa penyewe, yaan ni sawa na originl comedi na the comedi show unaweza kujua ninachomanisha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…