Story nzuri sana, nimependa aina ya usimuliaji inakufanya usichoke kufuatilia...ila Story ya Osama kushiriki 9/11 ni kama usanii flani, uwezekano wa kuwa inside job ni mkubwa zaidi
Ni kweli 9/11 it was an inside job, Bush na kundi lake walikuwa wanatafuta kisingizio cha kumuondoa madarakani Saddan Hussein na kuiba mafuta wakati wa occupation, njama hizo walishirikiana na Israel ndiyo maana siku ya tukio hakuna mu-Israel hata mmoja alipoteza maisha ndani ya majengo hayo pacha ingawa zilikuwepo ofisi nyingi za Makampuni ya Israel kwenye majengo hayo, walipewa taarifa mapema wasije kazini.
Niliona Rais Bush alipo pewa taarifa kuhusu tukio la ndege kubamizwa kwenye majengo, Bush hakushituka hata kidogo aliendelea kuwasomea adithi watoto wa chekechea - hii inamaanisha alijua kinacho endelea, hata kudondoka kwa majengo kilionyesha it was a controlled implosion/demolition i.e columns zilikuwa ringed na high explosives kwenye msingi/foundation na kulipuliwa kwa mpigo - watu wengi wanaojua mbinu zinazo tumika kudondosha majengo marefu bila madhala kwa majengo jirani, weledi wanajua kwamba milipuko yenye nguvu zaidi ndiyo zilizo wekwa kwenye columns za misingi ya majengo pacha na kuya dondosha - kilicho fanyika pale ni usanii mtupu!!
Linapo kuja suala la Bin Laden, Taifa la Merikani linavyo penda sifa na kutisha tisha watu si rahisi kumuua Osama wakasahau kupiga picha na kuzisambaza Dunia nzima kudhilisha Umahili wao wa ku deal na magaidi - awawezi kusahua hilo hata siku moja, cha ajabu ni watu achache ambao awahoji hilo i.e wawaulizi picha za mwili wa Bin Laden ziko wapi???
Mbona Bush alipotoa amri ya Kunyonga Sadam Hussein kila kitu kilionekana adhalani kupitia MSM, Bush alifanya kitendo hicho makusudi kutisha Viongozi wengine Duniani ambao wata jaribu kuingilia maslahi yao walihakikisha picha za Hussein akitiwa kitanza zinasambazwa Dunia nzima - je, za mwili wa Osama ziko wapi?
Binafsi naona operation nzima ulikuwa ni usanii mtupu, aidha Osama alikufa miaka mingi kutokana na ugonjwa wa figo alio kuwa nao, au bado ni nzima anaishi nchi fulani akiendelea kulipwa mshahara na marupurupu by CIA maanake wao ndio walimfundisha mambo ya Ugaidi kwa malengo maalumu, sisi wanaendelea kutuzuga tu.