Geranimo E.K.I.A: Kutoka Makao Makuu ya CIA Langley, Oparesheni Ya Kukamatwa Osama Bin Laden

Hahaaaa. Labda mzazi wako mmoja angekuwa wa nje pia ingekusaidia. Si unaona Obama.
Huwa napenda habar za kijasusi km hz. Hata movies za kijasusi napenda sana.
Nisngezaliwa Tanzania ningekuwa jasusi kabsa. [emoji4]
Asante mleta post
 
The bold naanza kukufuatilia rasmi unaleta maana halisi ya jf thumb up,mtiririko mzuri story nzuri haina tofauti na kuona picha la bond cinemax hapa imekosekana surround sound tu,!
 
Big up Mkuu the bold Kwa kutupa uhalisia Jini wamarekani walimuua gaidi bin laden
 
 
kwanin mpka sasa imekuwa classified issue
Yaani una quote Uzi mrefu namna hii kwa ajili ya kasentensi kako kamoja tu?? Hivi unafahamu namna unvyotutesa tunaotumia simu???
Ustarabu ni kitu cha bure. Jifunze namna ya kum quote mtu kwa njia nyingine
Eboooooooo!!
 
Sijui tabu uliyoipata ni ipi hapo,hujui nini maana ya mshangao?au ndo hekima sifuri..
Acha ujinga, utanukuu vip Uzi wote huu?? Unafahamu shida tunazopata kwa act yako sisi tunaotumia simu??
Ujinga-stupidity(lack of knowledge and information)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…