Geranimo E.K.I.A: Kutoka Makao Makuu ya CIA Langley, Oparesheni Ya Kukamatwa Osama Bin Laden

Wakuu nawezaje kusave hii kitu nikabaki nayo kwenye simu ikiwa thread hii itaondolewa?
 
Wakuu nawezaje kusave hii kitu nikabaki nayo kwenye simu ikiwa thread hii itaondolewa?
 
Edward snowden yule anaemiliki mtandao wa wikileaks anasema Bin Laden yupo safe and sound somewhere around the world, ile ilikuwa janja ya US tu kumeza mafuta ya waarabu na baada ya kufanikiwa wakauwa band dizaini ile pale.
 
Wakuu nawezaje kusave hii kitu nikabaki nayo kwenye simu ikiwa thread hii itaondolewa?
Mkuu next time ukitaka kucomment na mtu aone jitahidi usiquote thread yote namna hii inaleta usumbufu mkubwa kwa wanaotumia simu..

Nikijibu swali lako; nenda pale mwanzoni kwenye thread yenyewe kisha gusa mara moja (one touch) ili 'kuiselect' kisha kama kawaida utaona uzi umekuwa na bluu then angalia kule juu pembeni upande wa kulia utaona nukta tatu, chagua hapo, kisha utaona options mbali mbali tafuta option iliyoandikwa 'copy post content' chagua hiyo.. Baada ya hapo rudi kwenye simu yako uwanja wa meseji whatsapp au meseji ya kawaida hold kwa muda mpaka litokee neno 'paste' then bonyeza hilo neno paste.. Its done!!
 
So excited story.
Yaani kama jamaa wa Hollywood wakiitengenezea movie itakuwa maridadi sana.

Na kama serikali za kibongo zingekuwa ziko smart hata 5% tu kulinganisha na USA huenda tungekuwa mbali sana.

Yaani huwa nacheka na kusikitika sana kila mara ninapomwona Kamanda wa Polisi hapa Tanzania anaposema sijui Intelijensia, sijui Ugaidi nk. Kwenye issue za maandamano ya Wapinzania au wamachinga tu. Yaani hata ungemuuliza hiyo intelijensia ni nini asingekupa jibu lolote.
 
Wakuu nawezaje kusave hii kitu nikabaki nayo kwenye simu ikiwa thread hii itaondolewa?
Kwanza hukuwa na sababu ya ku-quote lihabari lote hili ili kuuliza swali la sentensi moja. Ni mateso kwa tunaotumia simu. Pili, unaweza kum-PM mwandishi akakutumia kama attachment. Tatu, unaweza kuihifadhi mwenyewe kama una kompyuta. Nne, unaweza kuiselect yote ukaicopy halafu ukajitumia kwenye WhatsApp, email au message
 
Mada kama hizi hata kama akili imestuck zinasaidia sana ku refresh mind...shukrani mkuu.
 
he!
 
Kabisa! Inaonesha jinsi wenzetu walivyo makini hata kwa details ndogo ndogo
wafuatiliaji wetu wangekua na akili hii tusingekua na kukusanya watu hovyo, kama wazururaji na mengineyo, nawashauri wasome story nyigi zipo kibao. kwa sababu nchi zetu bado changa. kuna vitabu vingi tu. hata kwenye mtandao waende, watakua makini kupita maelezo.itakua respect our force !!
 
story tamu sana
 

ila propaganda nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…