Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeitikia wito mkuu, wacha nisome kwanza, then ntaongea ya moyoni maana hii habari ya kifo cha osama ina mikanganyiko mingi, wamarekanj nao si wakuwaamin moja kwa moja, hawachelew kukuletea movie zao za Hollywood kwenye maisha ya kawaida..Divine..., glory to yhwh, Nifah, BansenBurner, Alisen, Papushikashi, Magazine Fire, miss chagga, succinate coA hydrogenase, SANCTUS ANACLETUS, mngony, Excel, Mussolin5, Jimena, Inferiority Complex, gwijimimi, wambura marwa, Hoshea, Shareef Conscious, wambeke, The Boss, deejay, nasmile, gkileo, Juma chief, Mangi flani hivi, Ngongo, @makaveki10, KENZY, kadada wa pili, Root, aretasludovick, jonnie_vincy, Clkey, KAFA.cOm, mbewe, makedonia, Afande Nyati, peterchoka, Leonard Robert, Nchi Kavu, STUNTER, @4G LITE, Chrizo, jully van persie, Khalidoun, Tetramelyz, punje haradari, Mazigazi, Alybaba, babu na mjukuu, platozoom, jimmyfoxxgongo, Nicodemas Tambo Mwikozi, Ls man, Heaven Sent, sifongo, Infantry Soldier, haa mym, 20acres, MTS, MarkHilary, compos, Tembo2, Erick the future, e-l, nancy1983, Bulah, binsaad, Fazzaly, The Wolf Firegironsa, everhurt, Melvine
Mkuu The bold usisahau kunitag kila unapopandisha thread yako sawa?Nisamehe bure mkuu! Next time sitosahau..
Kuwa na ulinzi mdogo ni mbunu mojawapo ya kijasusi! Unapokuwa na ulinzi mzito una attract attention.. Just imagine kungekuwa na walinzi wenye mitutu ya bunduki getini na kwenye balcony masaa 24, kila mtu angejiuliza kuna nini humo ndani???Mbona kadakwa kizembe sana
Haiwezekani aishi kwenye nyumba ambayo haina hata security camera.....kumbuka osama ni jasusi la kimataifa
Hahahahah! Karibu sana kiongoziNimeitikia wito mkuu, wacha nisome kwanza, then ntaongea ya moyoni maana hii habari ya kifo cha osama ina mikanganyiko mingi, wamarekanj nao si wakuwaamin moja kwa moja, hawachelew kukuletea movie zao za Hollywood kwenye maisha ya kawaida..
Ni nani huyo?? Btw walio ndani ya mchezo ndiyo wanaojua ukweli wa mambo, wengine tutaishia kuguess tu!!!View attachment 400550
hii dunia ni zaidi ya uijuavyo
Mkuu kitabu chako nitakipataje nipo Arusha Yericko NyerereUkiendelea nitakuumbua na hii kwakuleta video yake bwana mdogo...
Umeijua lini jf?
Nashukuru mkuu..The Bold umeihadithia vizuri sana,hongera sana
Word.!! Wenzetu vyombo vya usalama wana uchungu haswa na nchi zao, sio watawala.. Watawala wanakuja na kuondoka, nchi inaishi mileleNadhani Abu Ahmed al-Kuwait ni sababu kubwa ya kuuwawa Osama.Lakini pia mataifa ya wenzetu vyombo vya usalama vipo kwaajili ya maslahi ya taifa tofauti na Afrika vyombo vya usalama vipo kwaajili ya maslahi ya watawala.