Geranimo E.K.I.A: Kutoka Makao Makuu ya CIA Langley, Oparesheni Ya Kukamatwa Osama Bin Laden

Geranimo E.K.I.A: Kutoka Makao Makuu ya CIA Langley, Oparesheni Ya Kukamatwa Osama Bin Laden

FBI files, The smash, S4 E2 writen by Martin Methwe...

Ni jambo jema, lakini ni hatari kujitwalia utukufu....

Haki zote apewe Martine wa FBI documentaries Gulf series.

Ukibisha nitakuletea Video yote ulivyoitafsiri neno kwa neno na kuifanya yako, ati mtu yoyote nae akiitafsiri kama wewe ataonekan kaichukua kwako....

Nikupongeze kuwa Mr Mkandara Lufufu wa FBI series Dcs
 
FBI files, The smash, S4 E2 writen by Martin Methwe...

Ni jambo jema, lakini ni hatari kujitwalia utukufu....

Haki zote apewe Martine wa FBI documentaries Gulf series.

Ukibisha nitakuletea Video yote ulivyoitafsiri neno kwa neno na kuifanya yako, ati mtu yoyote nae akiitafsiri kama wewe ataonekan kaichukua kwako....

Nikupongeze kuwa Mr Mkandara Lufufu wa FBI series Dcs
Uwiiii,lakini si katusaidia tu brother kuchek movie,inapendeza sana hii mkuu
 
FBI files, The smash, S4 E2 writen by Martin Methwe...

Ni jambo jema, lakini ni hatari kujitwalia utukufu....

Haki zote apewe Martine wa FBI documentaries Gulf series.

Ukibisha nitakuletea Video yote ulivyoitafsiri neno kwa neno na kuifanya yako, ati mtu yoyote nae akiitafsiri kama wewe ataonekan kaichukua kwako....

Nikupongeze kuwa Mr Mkandara Lufufu wa FBI series Dcs
By the way nimesoma kitabu chako....kuhusiana na haya mambo...nimekipenda...niseme umejitahid sana hasa swala la references.
Hata hvyo mhariri wako hakukutendea haki sana....kuna makosa kadhaa ya matumizi ya lugha...however hongera sana kwa kazi nzur.
 
Duh! The bold asante..
ila haya majamaa united state yako vizuri bila shaka wamewekeza vilivyo kwenye jeshi operation kama hiyo it need a lot of money
Haswa, jamaa mpaka wana nunua nyumba kisa tu wapate taarifa
 
Huku unapoelekea naona sifa zimeanza kukulevya anyway hongera kwa thread nzuri
Kuwa mpole mkuu.. Yericko hana aibu! Uzi wangu uliopita aliuchukua akawa anausambaza na kujisifu kuwa ameandika yeye.. Na bila aibu akafikia mpaka hatua ya "kuback date" post zake huko kwenye mablogu ili aonekane mkweli... Kwahiyo mkuu huyu ni mtani wangu wa jadi tunajuana wenyewe, wewe tuache wenyewe tutamalizana
 
Kuwa mpole mkuu.. Yericko hana aibu! Uzi wangu uliopita aliuchukua akawa anausambaza na kujisifu kuwa ameandika yeye.. Na bila aibu akafikia mpaka hatua ya "kuback date" post zake huko kwenye mablogu ili aonekane mkweli... Kwahiyo mkuu huyu ni mtani wangu wa jadi tunajuana wenyewe, wewe tuache wenyewe tutamalizana
Kumbe waarabu wa pemba...basi kheri.
 
Ni jambo jema, lakini ni hatari kujitwalia utukufu....

Haki zote apewe Martine wa FBI documentaries Gulf series.

Ukibisha nitakuletea Video yote ulivyoitafsiri neno kwa neno na kuifanya yako, ati mtu yoyote nae akiitafsiri kama wewe ataonekan kaichukua kwako....

Duuuuhh Yericko huishiwi vituko..

OK katika macho yako wacha nionekane tu najitwalia utukufu, lakini kwa wanaofuatilia nyuzi zangu wanajua jinsi nilivyo humble na wanajua "ugomvi" wetu mimi na wewe uko wapi!! Ni vile unaibaga thread humu na kusema za kwako bila aibu.. Si unakumbuka thread ya Cooper ulivyopotosha watu kule Facebook ati umeandika wewe..

Alafu ati umesema nimetafsiri kitabu cha Martine, too bad hata cover la hicho kitabu silijui! Hebu tuwekee hicho kitabu.. I dare you!!
Post yako hii imeendelea kunithibitishia kitu kimoja, kwamba wewe ni bingwa wa 'cheap propaganda', mpotoshaji, na umejawa 'wivu wa kike'...

Anyways, Asante kwa kuja mtani! I hope umeinjoi..
 
Duuuuhh Yericko huishiwi vituko..

OK katika macho yako wacha nionekane tu najitwalia utukufu, lakini kwa wanaofuatilia nyuzi zangu wanajua jinsi nilivyo humble na wanajua "ugomvi" wetu mimi na wewe uko wapi!! Ni vile unaibaga thread humu na kusema za kwako bila aibu.. Si unakumbuka thread ya Cooper ulivyopotosha watu kule Facebook ati umeandika wewe..

Alafu ati umesema nimetafsiri kitabu cha Martine, too bad hata cover la hicho kitabu silijui! Hebu tuwekee hicho kitabu.. I dare you!!
Post yako hii imeendelea kunithibitishia kitu kimoja, kwamba wewe ni bingwa wa 'cheap propaganda', mpotoshaji, na umejawa 'wivu wa kike'...

Anyways, Asante kwa kuja mtani! I hope umeinjoi..
Nilidhani utakuwa mwerevu na kutulia kumbe mshari,

Punguza murkari ndugu, makala yako ni tafsiri ya documentry ya FBI files inayosimuliwa na Martine,

Kumbe unakopi vitu bila kujua wamiliki?

Nenda youtube video nzima ipo neno kwa neno....

Hoja yangu nikuwa ukitafsiri kitu cha mtu usijitwalie utukufu....

DB Cooper ni makala niliyotafsiri kama wewe ulivyotafsi lakini mimi nimemtaja msimulizi na kuweka video nzima, sijajitwalia kama ufanyavyo wewe,

Usilete ligi usije kudharirika nikileta video za db na hii hapa kijana...

Mwerevu hunyamaza ila mjinga hukomaza shingo....

Huyo ndie DB Cooper na msimulizi wake ambaye hukumtaja na badala yake ukajipa utukufu

 
Nilidhani utakuwa mwerevu na kutulia kumbe mshari,

Punguza murkari ndugu, makala yako ni tafsiri ya documentry ya FBI files inayosimuliwa na Martine,

Kumbe unakopi vitu bila kujua wamiliki?

Nenda youtube video nzima ipo neno kwa neno....

Hoja yangu nikuwa ukitafsiri kitu cha mtu usijitwalie utukufu....

DB Cooper ni makala niliyotafsiri kama wewe ulivyotafsi lakini mimi nimemtaja msimulizi na kuweka video nzima, sijajitwalia kama ufanyavyo wewe,

Usilete ligi usije kudharirika nikileta video za db na hii hapa kijana...

Mwerevu hunyamaza ila mjinga hukomaza shingo....
Again! Tufanye mimi ni mshari na wewe ndiye mtu mwema..

My point is, mimi sio CIA kwahiyo obviously kuna source ya stori yangu.. Sasa usinilazimishe kuwa source yangu ni kitabu cha Martine, kama wewe umesoma kitabu cha Martine/documentary or whatever basi mimi nimesoma mahala kwingine! Usinilazimishe kuwa source yangu ni Martine.

Sijajua wewe unapoandikaga vitabu vyako unafanyaje lakini kwa upande wangu kabla ya kuandika kitu nafanya tafiti. Tuchukue kwa mfano simulizi hii, nimepitia 'press release' za white house na DOD, nimepita wikipedia, nimepitia makala za majarida, nimepitia maelezo ya former SEALs anayedai kupiga ile killing shot kwa Osama, nimepitia maelezo ya ISI na serikali ya Pakistan nakadhalika nakadhalika nakadhalika. Hivyo ndivyo ninavyoandika makala zangu..

Sasa wewe unayesema ati kuna chapisho nimetafsiri 'neno kwa neno' ndio hapo ninapokwambia wewe ni Mwongo na mpotoshaji. Hebu tuwekee hilo chapisho/documentary.!!

Na kwanini kila nyuzi anayoandika The Bold lazima uponde, uipake mavi na utoe kila neno baya! Hivi siku moja tu ukisema "Good job The Bold, Keep it up", utapungukiwa nini, si walau utaniongezea moyo nizidi kukomaa na mimi walau siku nije kuwa mwandishi 'nguli' kama wewe (I mean it)

Unaposhindwa kunipongeza hata kinafiki tu badala yake kuniponda tu kila siku ndio hapo nakwambia wewe Yericko una wivu wa kike.
 
Again! Tufanye mimi ni mshari na wewe ndiye mtu mwema..

My point is, mimi sio CIA kwahiyo obviously kuna source ya stori yangu.. Sasa usinilazimishe kuwa source yangu ni kitabu cha Martine, kama wewe umesoma kitabu cha Martine/documentary or whatever basi mimi nimesoma mahala kwingine! Usinilazimishe kuwa source yangu ni Martine.

Sijajua wewe unapoandikaga vitabu vyako unafanyaje lakini kwa upande wangu kabla ya kuandika kitu nafanya tafiti. Tuchukue kwa mfano simulizi hii, nimepitia 'press release' za white house na DOD, nimepita wikipedia, nimepitia makala za majarida, nimepitia maelezo ya former SEALs anayedai kupiga ile killing shot kwa Osama, nimepitia maelezo ya ISI na serikali ya Pakistan nakadhalika nakadhalika nakadhalika. Hivyo ndivyo ninavyoandika makala zangu..

Sasa wewe unayesema ati kuna chapisho nimetafsiri 'neno kwa neno' ndio hapo ninapokwambia wewe ni Mwongo na mpotoshaji. Hebu tuwekee hilo chapisho/documentary.!!

Na kwanini kila nyuzi anagoandika The Bold kazima uponde, uipake mavi na utoe kila neno baya! Hivi siku moja tu ukisema "Good job The Bold, Keep it up", utapungukiwa nini, si walau utaniongezea moyo nizidi kukomaa na mimi walau siku nije kuwa mwandishi 'nguli' kama wewe (I mean it)

Unaposhindwa kunipongeza hata kinafiki tu badala yake kuniponda tu kila siku ndio hapo nakwambia wewe Yericko una wivu wa kike.
Maelezo mareeeefu wakati jibu lipo kwenye video na msimulizi wake yupo neno kwa neno...

Naona unapaniki mkuu... Tufanye yameisha kiutu uzima kupitia FBI files... Jeff Harison apewe sifa yake
 
Maelezo mareeeefu wakati jibu lipo kwenye video na msimulizi wake yupo neno kwa neno...

Naona unapaniki mkuu... Tufanye yameisha kiutu uzima kupitia FBI files... Jeff Harison apewe sifa yake

Ukiona nyani mzee ujue amekwepa mikuki mingi....
Yericko unanisikitisha sana Mkuu! Unakumbuka kile nilichokwambia kwenye uzi iliopita wa Cooper??? Nilikwambia kwamba nilikuwa nakuheshimu sana bro.. and I mean it! Nilikuwa na heshima sana kwako... Nimesoma kitabu chako cha Ujasusi wa kiuchumi and i loved it! Kichwani nilijenga Picha ya Yericko tofauti sana na huyu ninayemuona humu.! Umejivunjia heshima sana mkuu

Tangu uanze huu utoto unaoufanya, nimekudharau mnoooo! Nimekushusha mnooo! Umepoteza heshima kubwa mno niliyokuwa nakupa.. Na zaidi umenisikitisha sana!
Badilika mkuu. Wewe ni mwandishi, na mwingine nae akiandika watu wakapenda usichukie!! Furahi, mtie moyo.. Huo ndio 'uGreat thinker'
 
Back
Top Bottom