Geranimo E.K.I.A: Kutoka Makao Makuu ya CIA Langley, Oparesheni Ya Kukamatwa Osama Bin Laden

Geranimo E.K.I.A: Kutoka Makao Makuu ya CIA Langley, Oparesheni Ya Kukamatwa Osama Bin Laden

Kiongozi....sipingi wala kukubali kuwa osama kauwawa...ninachosema ni kuruhusu IQ yangu ndogo itizame mambo katika muundo wa pembetatu.
Waweza jibu hoja zangu kama unaziona zipo...lakin wakati ukiwa unajibu jiweke katika fikra huru kwa kuzingatia declassified intelligence records...tizama zaidi matukio between miaka ya 60s to 90s ...lets think for the sake of thinking!
Ni kweli kabisa hata mm nashindwa kuelewa ni vipi mtu kama osama akawa na ulinzi dhaifu kiasi hicho maana wanajeshi wa marekani wamekutana na watu wawili tu wenye silaha za kivita tena AK-47.
 
Ni kweli kabisa hata mm nashindwa kuelewa ni vipi mtu kama osama akawa na ulinzi dhaifu kiasi hicho maana wanajeshi wa marekani wamekutana na watu wawili tu wenye silaha za kivita tena AK-47.
Nafikiri kutoweka ulinzi ilikuwa mbinu moja ya kumfanya kuwa invisible. Unapoweka walinzi wanaweza kuonekana kwa drones na sateliti na hii ina raise suspicion. Kwa kifupi hii ilikuwa ni operesheni inayhitaji uvumilivu maana imechukua miaka karibu kumi kwa kuangalia process yote...
 
Asante sana kwa simulizi hii taamu....! Kuna kale kamsemo kanasema there is other side of every story!
Kwanza kumuhusisha osama na sept 11 huenda ni jambo lenye kuhitaji tafit zaidi. Kwa level ya planning na execution ya tukio la sept 11 ....watafit wengi wenye elimu za juu za fizikia...usalama na nyenginezo wametoa hoja zenye mashiko sana ikiwa osama aliweza kutekeleza tukio hilo bila c.i.a wenyewe kuhusika. Zipo rejea nyingi sana katika hili.

Lakin kuhusu tukio lenyewe kwenye simuliz hii...sababu za kutomuonesha osama baada ya kumuuua bila shaka zinaleta ushaka fulani ingawa hii haimaanishi kwamba hakuuwawa. Celebrity wa ugaid akazikwa kimyakimya bila uthibitisho wa ziada kwa kweli mie inanichefua. Zaid ya hapo...hilo kasri lilikuwa na ulinzi dhaifu kiasi gan hali yy osama akijua yuko kwenye watchlist 24hrs?! Yaan mtu mwenye uwezo wa kufanya planning ya level ya sept 11 siamini kwamba makazi yake yatakuwa na security level nyepesi...bila shaka IQ yake ingeshamwambia in advance escape strategy yake ikoje...!

Yaan binafsi nikifikiria sifa alizopewa osama na jins alvokuja kuuwawa hadi kuzikwa i feel there is so much left untold. Siwezi kuprove au disaprove kifo cha huyu jamaa...lakin kama c.i.a na marekan kwa ujumla waliaminisha ulimwengu kuwa Iraq ina silaha za maangamizi na dunia ikaamini....leo itashindwaje kutuambia imemuua osama tusiamini?!

There is other side of every story!!
Umeanya analysis nzuri sana kuna vitu vingine ukiambiwa inabidi ufikirishe sana akili yako...swali sababu ya USA kuvamia Iraq ni silaha za maangamizi na sababu ya USA kwenda Afghan ni kumtafuta Osama baada ya kudaiwa kufanya tukio la 9/11 sasa je Iraq kulipatikana silaha hizo za maangamizi na je bila kuwa na mtu anayeitwa Osama USA wasingeenda Afghan? nchi ambayo hapo zamani hawakupenda iwe karibu na Urusi mpaka kufikia hatua ya kuwapatia silaha mujahedeen wapambane na Urus!?
 
@Thebold Asante kwa story nzuri ila Ukilinganisha sifa za hilo jumba, mtu aliekuepo ndani na ulinzi ni vitu viwili tofauti napata wacwac hapo yaani kuuliwa watu wa3 tu na kumpata Osama. Duuh!!

Sema nilikua naswali hapa jamani, kwanini waliamua kuuzamisha baharini mwili wa Osama na sio vinginevyo?
 
@Thebold Asante kwa story nzuri ila Ukilinganisha sifa za hilo jumba, mtu aliekuepo ndani na ulinzi ni vitu viwili tofauti napata wacwac hapo yaani kuuliwa watu wa3 tu na kumpata Osama. Duuh!!

Sema nilikua naswali hapa jamani, kwanini waliamua kuuzamisha baharini mwili wa Osama na sio vinginevyo?
Hii part ya kuuzamisha mwili baharini inaweza ikawa wam ifabricate just to get people off the hook. Inawezekana mwili wake bado wanao wamuhifadhi mahali kwa hiyo part nyingi za hii habari bado ni siri nzito za usalama
 
Story imeelezwa vizuri mpaka inakuwa kama unatazama movie. Swala la ni kweli ama la ni ishu nyingine ila uwasilishaji umenivutia sana. Ahsante sana mkuu.
 
walieleza kwa nini hawakutaka kumuonesha osama akiwa ameuawa, walieleza kwa nini hawakutaka osama azikwe kaburi la kawaida. osama aliuawa kwa namna ambayo wamarekani waliamini kuwa kupost picha zake kungeibua hisia flan kutoka kwa jamii za kiarabu na waumini flan ambao walikuwa wakiamini osama ni kama mtu mmoja muhimu sana kwenye imani yao.
lakini pia kwa nini walimzika baharini? kuna watu ambao leo hii wangekuwa wanajaa kwenda kuangalia kaburi alilozikwa osama na hivyo tena kutengeneza hisia flan mambo ya imani. wengine hata wanegweza kwenda kuhiji n.k hili wamarekani hawakutaka litokee. na ndo maana walimzika huko baharini kwenye kina kirefu.kwao la msingi lilikuwa ni OSAMA KUUAWA na si lingine. kwao la MSINGI LILIKUWA NI UHAKIKA KUWA OSAMA AMEUAWA. na katika hili pga hesabu wameanza kumtafuta lini na je baada ya kuuawa umesikia tukio gani limefanywa na osama? kumbuka osama mara zote ambazo alikoswa koswa alikuwa akijitokeza au kurusha videos/audios zake akiendelea kuwalaani marekani n.k baada ya kutangazwa kifo chake umesikia au kuona tena?

mpaka leo hii tu kuna watu wanaamini TU PAC anaishi. toka miaka hiyo zaidi ya 10 nao watakupa theories mbalimbali.lakini ukikaa chini ukajiuliza au uka reason kidogo tu. miaka yote toka tupac afariki alikojificha anajificha ili iweje?lengo ni nini? ile 7 days theories ilishapita since he died. well, kuna watu kwa sababu ya iman zao hawatak kuamini kuwa amekufa na kusambaza propaganda nying nying na unapoona usa wamenyamaza ujue ni sababu hawana kikwazo chake na hawahitaji kuudhihirishia umma kuwa they killed him. wanataka kujidhihirishia wao kuwa he is no more a threat. akiingia nyoka nyumban kwako. akajificha sehemu usimpate halafu ukatoka nje na kufake kuwa umemuua utakuwa mpuuzi sana.

but kama una uhakika we mwenyewe kuwa umemuaa ukamponda ponda kichwa na akaja jiran akabisha akasema hukumuua mbona ye hajamwona. wala huna ahaja ya kuhangaika na jirani huyo. unaendelea na maisha yako kama kawaida.

osama asingeweka ulinzi mkubwa sana pale kwake kwa sababu kwa kufanya hivyo angevutia udadisi. ili ajifiche alipaswa awe na ulinzi wa kawaida sana na ndo maana alienda ishi pale. unapoweka ulinzi mkubwa sana unavutia udadisi na usisahau Saddam alikutwa amejificha kwenye shimo. hakuwa na ulinzi mkubwa though alijua alikuwa anatafutwa sana. na ukijifunza mambo ya ujasusi utagundua namna nzuri ya kujificha hata kama ni jambazi mkubwa anayetafutwa haya siyawek hapa hadharani kwa sababu za kiusalama. kujificha nako ni somo zuri na ndo maana unaona osama aliweza jificha miaka yote kwa sababu hakuwa akitembea na jeshi kubwa. unapokuwa na watu wengi zaidi hata kwa ulinzi unajiweka katika hatari kubwa zaidi ya kujiweka waz au kukaribisha udadisi. Na ukiangalia hata mtaani tu ukikuta nyumba inalindwa sana unaanza kuwa na udadis anayeishi humo ni nani au kuna nini.
 
Nafikiri kutoweka ulinzi ilikuwa mbinu moja ya kumfanya kuwa invisible. Unapoweka walinzi wanaweza kuonekana kwa drones na sateliti na hii ina raise suspicion. Kwa kifupi hii ilikuwa ni operesheni inayhitaji uvumilivu maana imechukua miaka karibu kumi kwa kuangalia process yote...
Unaweza kuwa sahihi ila naona bado kuna siri kubwa sana juu ya tukio hili.
 
Mkuu japo hukunitag lkn nimeisoma. safi sana nasubiri Yericko aipeleke tena fb
Hahahahaha!! Kesho kutwa tu utamkuta yericko fb anajitutumua kuwa ameandika yeye...

Alafu nimekutag mkuu sijajua nini kimeleta mushkeli
 
Hahahahaha!! Kesho kutwa tu utamkuta yericko fb anajitutumua kuwa ameandika yeye...

Alafu nimekutag mkuu sijajua nini kimeleta mushkeli
Usjali Mkuu nshaisoma tayari na nimependa uwasilishaji wako.

Yericko hanaga aibu yule kijana ndio maana lile likitabu lake sijanunua maana najua ni copy$paste nyingi hakuna jipya

ni mtu wa kuchukua maandishi ya watu na kujifanya yake
ila Mbowe ana akili sana ndio maana hajampa kazi yoyote chadema.

mtag aione kabisa ili aichukue maaana mimi natumia Pc sijui kutag
 
Back
Top Bottom