Geranimo E.K.I.A: Kutoka Makao Makuu ya CIA Langley, Oparesheni Ya Kukamatwa Osama Bin Laden

Geranimo E.K.I.A: Kutoka Makao Makuu ya CIA Langley, Oparesheni Ya Kukamatwa Osama Bin Laden


Hiyo haina Umuhimu Mkuu,
Mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo sio ishu kuufatisha as long as umelipatia jina hata uandike kwa herufi ndogo lita-appear kwa herufi original...
Mfano @ stunter or @ kenzy
sasa testi zari hapo
STUNTER
 

Hiyo haina Umuhimu Mkuu,
Mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo sio ishu kuufatisha as long as umelipatia jina hata uandike kwa herufi ndogo lita-appear kwa herufi original...
Mfano @ stunter or @ kenzy
sasa testi zari hapo
good nimeona mkuu it work thank you nilikuwa sijui...
 
kwanin mpka sasa imekuwa classified issue
ni mapema sana, watakuja ku-declassify miaka kadhaa mbeleni.kumbuka alqaida bado wapo, na wameibuka wengine wanajiita IS.

kwa sasa wewe jua tu osama aliuwawa huko abbotabad Pakistan mwezi wa 5 2011.
 
Dah.!! Historia nzuri sana. Ila nimejiuliza maswali haya kama kuna anayeweza kunifafanulia nitashukuru.
1: Al-kuwait na kaka yake Abrar wakat waliwashambulia hao makomandoo saut za risas hazikusikika? Maana walitumia Ak 47.
2: Huo mlipuko wa hiyo helikopta iliyoharibika haukusikika au hata moshi kuonekana kwa majiran?
 
nilisikiaga na familia yake walikufa (baadhi ya ndugu zake) kwenye ndege kuna ukweli hapa ama..?
 
Utabakia kushangaa hivyo hivyo ,thread yote hii una qoute kwa neno "Duh" unatupa tabu tu Mkuu
Sijui tabu uliyoipata ni ipi hapo,hujui nini maana ya mshangao?au ndo hekima sifuri..
 
Asante sana kwa simulizi hii taamu....! Kuna kale kamsemo kanasema there is other side of every story!
Kwanza kumuhusisha osama na sept 11 huenda ni jambo lenye kuhitaji tafit zaidi. Kwa level ya planning na execution ya tukio la sept 11 ....watafit wengi wenye elimu za juu za fizikia...usalama na nyenginezo wametoa hoja zenye mashiko sana ikiwa osama aliweza kutekeleza tukio hilo bila c.i.a wenyewe kuhusika. Zipo rejea nyingi sana katika hili.

Lakin kuhusu tukio lenyewe kwenye simuliz hii...sababu za kutomuonesha osama baada ya kumuuua bila shaka zinaleta ushaka fulani ingawa hii haimaanishi kwamba hakuuwawa. Celebrity wa ugaid akazikwa kimyakimya bila uthibitisho wa ziada kwa kweli mie inanichefua. Zaid ya hapo...hilo kasri lilikuwa na ulinzi dhaifu kiasi gan hali yy osama akijua yuko kwenye watchlist 24hrs?! Yaan mtu mwenye uwezo wa kufanya planning ya level ya sept 11 siamini kwamba makazi yake yatakuwa na security level nyepesi...bila shaka IQ yake ingeshamwambia in advance escape strategy yake ikoje...!

Yaan binafsi nikifikiria sifa alizopewa osama na jins alvokuja kuuwawa hadi kuzikwa i feel there is so much left untold. Siwezi kuprove au disaprove kifo cha huyu jamaa...lakin kama c.i.a na marekan kwa ujumla waliaminisha ulimwengu kuwa Iraq ina silaha za maangamizi na dunia ikaamini....leo itashindwaje kutuambia imemuua osama tusiamini?!

There is other side of every story!!
 
Ukubali usikubali OSAMA ALIUAWA. NA ALIUAWA KWELI KWELI. mengine naweza kukujibu vizuri tu tukianzia na hapo kwanza. hizo doubts zako nyingine naweza kukujibu bila shaka yoyote ila tukubaliane kwanza osama aliuawa.


Asante sana kwa simulizi hii taamu....! Kuna kale kamsemo kanasema there is other side of every story!
Kwanza kumuhusisha osama na sept 11 huenda ni jambo lenye kuhitaji tafit zaidi. Kwa level ya planning na execution ya tukio la sept 11 ....watafit wengi wenye elimu za juu za fizikia...usalama na nyenginezo wametoa hoja zenye mashiko sana ikiwa osama aliweza kutekeleza tukio hilo bila c.i.a wenyewe kuhusika. Zipo rejea nyingi sana katika hili.

Lakin kuhusu tukio lenyewe kwenye simuliz hii...sababu za kutomuonesha osama baada ya kumuuua bila shaka zinaleta ushaka fulani ingawa hii haimaanishi kwamba hakuuwawa. Celebrity wa ugaid akazikwa kimyakimya bila uthibitisho wa ziada kwa kweli mie inanichefua. Zaid ya hapo...hilo kasri lilikuwa na ulinzi dhaifu kiasi gan hali yy osama akijua yuko kwenye watchlist 24hrs?! Yaan mtu mwenye uwezo wa kufanya planning ya level ya sept 11 siamini kwamba makazi yake yatakuwa na security level nyepesi...bila shaka IQ yake ingeshamwambia in advance escape strategy yake ikoje...!

Yaan binafsi nikifikiria sifa alizopewa osama na jins alvokuja kuuwawa hadi kuzikwa i feel there is so much left untold. Siwezi kuprove au disaprove kifo cha huyu jamaa...lakin kama c.i.a na marekan kwa ujumla waliaminisha ulimwengu kuwa Iraq ina silaha za maangamizi na dunia ikaamini....leo itashindwaje kutuambia imemuua osama tusiamini?!

There is other side of every story!!
 
Asante sana kwa simulizi hii taamu....! Kuna kale kamsemo kanasema there is other side of every story!
Kwanza kumuhusisha osama na sept 11 huenda ni jambo lenye kuhitaji tafit zaidi. Kwa level ya planning na execution ya tukio la sept 11 ....watafit wengi wenye elimu za juu za fizikia...usalama na nyenginezo wametoa hoja zenye mashiko sana ikiwa osama aliweza kutekeleza tukio hilo bila c.i.a wenyewe kuhusika. Zipo rejea nyingi sana katika hili.

Lakin kuhusu tukio lenyewe kwenye simuliz hii...sababu za kutomuonesha osama baada ya kumuuua bila shaka zinaleta ushaka fulani ingawa hii haimaanishi kwamba hakuuwawa. Celebrity wa ugaid akazikwa kimyakimya bila uthibitisho wa ziada kwa kweli mie inanichefua. Zaid ya hapo...hilo kasri lilikuwa na ulinzi dhaifu kiasi gan hali yy osama akijua yuko kwenye watchlist 24hrs?! Yaan mtu mwenye uwezo wa kufanya planning ya level ya sept 11 siamini kwamba makazi yake yatakuwa na security level nyepesi...bila shaka IQ yake ingeshamwambia in advance escape strategy yake ikoje...!

Yaan binafsi nikifikiria sifa alizopewa osama na jins alvokuja kuuwawa hadi kuzikwa i feel there is so much left untold. Siwezi kuprove au disaprove kifo cha huyu jamaa...lakin kama c.i.a na marekan kwa ujumla waliaminisha ulimwengu kuwa Iraq ina silaha za maangamizi na dunia ikaamini....leo itashindwaje kutuambia imemuua osama tusiamini?!

There is other side of every story!!
Mkuu hoja zako ni za msingi sana na za mashiko....haiwezekani Bin Laden atumie akili nyingi kwenye 11/9 alafu ajiwekee ulinzi dhaifu....BTW ampongeza sana mleta mada, story za huyu jamaa hazichoshi kusoma.
 
Khasante mkuu.najiuliza inamaana Osama alikuwa hana ulinzi? Na kama kweli aliuwa mbona awajafafanua kwanini walificha maiti mpaka sasa atujapata uhakika Wa kifo chake kwa macho tunasikia hadithi tu,na hata ushaudi wa ndugu waliobaki atuna,na kama kweli walimuua watoto wa Osama waliopewa chanjo wamebaki yatima,na huyo make Wa ndugu yake Osama ilikuwaje wawe chumba kimoja na mke Wa Osama yupo wapi?nawaza tu!
 
Ukubali usikubali OSAMA ALIUAWA. NA ALIUAWA KWELI KWELI. mengine naweza kukujibu vizuri tu tukianzia na hapo kwanza. hizo doubts zako nyingine naweza kukujibu bila shaka yoyote ila tukubaliane kwanza osama aliuawa.
Kiongozi....sipingi wala kukubali kuwa osama kauwawa...ninachosema ni kuruhusu IQ yangu ndogo itizame mambo katika muundo wa pembetatu.
Waweza jibu hoja zangu kama unaziona zipo...lakin wakati ukiwa unajibu jiweke katika fikra huru kwa kuzingatia declassified intelligence records...tizama zaidi matukio between miaka ya 60s to 90s ...lets think for the sake of thinking!
 
Back
Top Bottom