JITU LA MIRABA MINNE
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 726
- 476
Tupia kapicha mkuuNinafurahi sana kupokea taarifa hizi toka home vigerman shepherd 8 vimezaliwa leo nataka nivipe mafunzo ya kikamanda na ulinzi naomba tips za namna ya kuwafundisha ulinzi ikiwezekana kila mmoja niweze kumpangia majukumu yake katika muundo wa nyumba
mm ni mpenzi na mbwa sana
Karibuni mafriends wote
nipo mbali mkulu wanguTupia kapicha mkuu
Wewe kama mimi. Napenda sana mbwa. Unauza bei gani?Ninafurahi sana kupokea taarifa hizi toka home vigerman shepherd 8 vimezaliwa leo nataka nivipe mafunzo ya kikamanda na ulinzi naomba tips za namna ya kuwafundisha ulinzi ikiwezekana kila mmoja niweze kumpangia majukumu yake katika muundo wa nyumba
mm ni mpenzi na mbwa sanahadi shemeji yenu ana lalamika kwamba mapenzi kwa mbwa yamezidi kuliko yeye
Karibuni mafriends wote
Hiv wale wa police wanauzwajeKama unafahamiana na askari Polisi kikosi cha mbwa na farasi jaribu kuwasiliana nao wanaweza kukusaidia kuwafundisha mbwa wako wakafikia mpaka kiwango cha kuweza kumtambua mwizi aliyekuibia hata kama atakuwa amejichimbia katikati ya kundi la watu atachomolewa tu,hata kama utataka kupigiwa paredi pamoja na kupigiwa salute utapigiwa.
Sijui bei yao lakini ukiwa jirani nao wanaweza wakakufanyia mpango wa kukuuzia vimbwa vidogo ambavyo vinazalishwa kwa ajili ya kupatiwa mafunzo ya kiutendaji na vinaweza vikapatikana katika chuo cha mafunzo Moshi,Siku za nyuma nilikuwa na rafiki yangu alikuwa Mkuu wa mafunzo ya mbwa na farasi chuoni hapo kwa sasa ameacha kazi na sina mawasiriano naye.Hiv wale wa police wanauzwaje
Mkuuu msaada wa picha tuwaone hao mang'ang'aNinafurahi sana kupokea taarifa hizi toka home vigerman shepherd 8 vimezaliwa leo nataka nivipe mafunzo ya kikamanda na ulinzi naomba tips za namna ya kuwafundisha ulinzi ikiwezekana kila mmoja niweze kumpangia majukumu yake katika muundo wa nyumba
mm ni mpenzi na mbwa sanahadi shemeji yenu ana lalamika kwamba mapenzi kwa mbwa yamezidi kuliko yeye
Karibuni mafriends wote
Mkuu kama unauza naomba tuwasilianeWawekee mazingira mazuri yenye joto na hakikisha mama yao ana chakula cha kutosha kwa ajili ya kutengeneza maziwa yake. Inashauriwa ungempatia chakula cha puppy pia huongeza maziwa.
Kuwatunza puppy ni changamoto, though GSD wapo vizuri kwenye uleaji.
Usipocheza na ishu ya mazingira utaambulia puppies wachache.
Mimi nilipata puppies saba and all wapo sawa. Wana 3 months now.
Otherwise hongera and wishing you all the best kuwatunza mkuu.