fredo fred
JF-Expert Member
- Oct 17, 2015
- 748
- 1,615
Tena Hii Bimmer siyo ya miaka mingi sana.Kimeumana kati ya mjapani (Tokyo) [emoji627] na mjerumani (Deustch land)
Matengenezo ya hapo unanunua Starlet used [emoji16][emoji16]
Mambo ya SA hayo [emoji1221]View attachment 1997514
Sent from my phone using JamiiForums mobile app
Sure mzee X5 G05 iyo tena M Power, ya 2019 au 2020 dadeq.Tena Hii Bimmer siyo ya miaka mingi sana.
Sikuconsider hizo rangi aiseee G05 M power wameanza kutengeneza mwaka jana....Sure mzee X5 G05 iyo tena M Power, ya 2019 au 2020 dadeq.
gari ikianza kutengezwa inakuwa mbayaBima italipa/kutengeneza.
No worries.
😀😀😀😀 nimecheka sana hapo kwenye "You hit what?"Sikuconsider hizo rangi aiseee G05 M power wameanza kutengeneza mwaka jana....
G05 za kawaida za kawaida ndio walianzia 2018...
Sema hapo itategemea mwenye makosa nani...
Kama ni huyo mwenye huyo mjapani, Suala likifika kwa watu wake wa Bima watamuuliza "You hit what?"
😀😀😀😀 nimecheka sana hapo kwenye "You hit what?"
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sikuconsider hizo rangi aiseee G05 M power wameanza kutengeneza mwaka jana....
G05 za kawaida za kawaida ndio walianzia 2018...
Sema hapo itategemea mwenye makosa nani...
Kama ni huyo mwenye huyo mjapani, Suala likifika kwa watu wake wa Bima watamuuliza "You hit what?"
You hit a BMW? You can’t be serious bruhv😀😀😀😀 nimecheka sana hapo kwenye "You hit what?"
SA sio bongo bima wanalipa bila longolongo tena wanampa gari nyingine mpyaa kabisa na hiyo Bm inapelekwa kuuzwa mnadani na makampuni ya used hiyo Hiace sio ya Japan ni za SA wanaziita siyaya zina bati gumu mno..Sikuconsider hizo rangi aiseee G05 M power wameanza kutengeneza mwaka jana....
G05 za kawaida za kawaida ndio walianzia 2018...
Sema hapo itategemea mwenye makosa nani...
Kama ni huyo mwenye huyo mjapani, Suala likifika kwa watu wake wa Bima watamuuliza "You hit what?"
SA wana Bima nyingi hata ukisababishiwa ajali na mtu mwingine azieweza kukulipa ukiweza kukata hiyo unalipwa tuu na wengi wanakata hizo...We ukute huyo mjapan alikata Third party halafu ndio kwa mfano iwe hapo yeye ndio alizingua af yanatokea kama hayo.... watu wa bima wanatamani wakukatae....
Una uhakika huyo ni MjapanWe ukute huyo mjapan alikata Third party halafu ndio kwa mfano iwe hapo yeye ndio alizingua af yanatokea kama hayo.... watu wa bima wanatamani wakukatae....
Hatuwezi kuelewana....Una uhakika huyo ni Mjapan
Sidhani.gari ikianza kutengezwa inakuwa mbaya
Ukipeleka kwa wenyewe sawa ila hawa mafundi wetu wa makumbusho tayari unakuwa umetia dosariSidhani.
Hasa wakitengeneza mafundi wa kwenye hizo dealerships. Wanatoa vifaa vilivyoharibika wanaweka vipya.
Ikitoka hapo utadhani imetoka kiwandani.
Ila ukipeleka kwa mafundi wa chini ya mwembe ndo utajua hujui.
Ndinga kama hiyo ukipeleka chini ya muembe utakuwa haupo serious.Ukipeleka kwa wenyewe sawa ila hawa mafundi wetu wa makumbusho tayari unakuwa umetia dosari