Gerson Msigwa angemuuliza afande maswali yafuatayo;
1. Ni Bodi ipi ilipitisha huo mradi!
2. Report ya cost benefit analysis ya huo mradi iko wapi!
3. Huo mradi umeanzishwa kwa sheria ipi ya Bunge?, kwasababu MSD ilianzishwa kwa sheria namba 13 ya Bunge ya mwaka 1993 kwa kufanya; manunuzi, kuhifadhi na kusambaza dawa za binadamu, kazi ya uzalishaji haipo. Hatutaki kuwa na kiongozi ambae anajifanyia tu mambo kwa utashi wake utafikili yuko nyumbani kwake
4. Nani alipitisha kujenga kiwanda kwao Iringa, je kuna kuna report yoyote ya upembuzi yakinifu?
5. Je nani alipitisha kuanza uzalishaji wa hizo gloves badala ya dawa, maana MSD ina catalogue items ya dawa 385 ambazo zinahitajika hospitalini at any time T
6. Mkandarasi wa ujenzi alipatikanaje? Kulikuwa na ushindani? Maana inasemekana ilikuwa through single source ikiwa ni pamoja na materials za dawa
7.
8.
Hayo ndo maswali aliyotakiwa kuuliza Msigwa!