Gerson Msigwa aipongeza MSD kwa kuanzisha viwanda vya dawa na vifaa tiba

Serikali wana uhakika wanaweza kuendesha viwanda vya madawa na vifaa tiba? nafikiri yanayofanyika ATCL kila mmoja wetu anayaona......nyie piganieni promo tu za kikanda na kikabila, naona wajanja wameshasoma mchezo hapo.......
 
Inaongozwa kijeshi we unataka mamichakato yetu ya kifisadi ili mpige 10%
 
Msigwa naona anavuka sana mipaka ya utendaji kazi wake. Nani kamwambia awe anafanya haya majukumu? Nini kazi ya Waziri husika? Msigwa anapaswa kujua mwisho wa utendaji kazi wake. Huyu kwa hizi mbio za sifa anazofanya anatakiwa kukemewa.
 
Inaongozwa kijeshi we unataka mamichakato yetu ya kifisadi ili mpige 10%
Wewe vipi! Kwani huku ni jeshini? Huku hatutunzi maghala ya kuhifadhia mabomu, huku taasisi zinaendeshwa kwa sheria za utumishi wa umma. Na manunuzi yanafanyika kufuata sheria za manunuzi mbali ya hapo wewe ni fisadi

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† nenda kawaulize suppliers waliokuwa wana-supply dawa na vifaa tiba pale Lugalo enzi za afande kilichokuwa kinafanyika utashangaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…