cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Nko poaaah mie,Uko poa lkn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nko poaaah mie,Uko poa lkn?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa ndio wewe kumbe tushakujua,hiyo habari sikuwai hata kuisikia.unayemlalamikia pia nasikia ni punyenye.
Au mnagombea bwana nyie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nasikia alitoroka usiku wa manane
Jee haki yake ataipata hapa JF?Umeyasoma vyema MALALAMIKO yake?!!!
Anayemlalamikia aliongea ndani kwake?!!!
Akikujibu nifahamisheJee haki yake ataipata hapa JF?
Wapakuaji huwa ni anonymous.Wengi wanasema jamaa siyo riziki ,je waliotuhumiwa naye ni kweli walikuwa wanampakua?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nae si wale wale tyuuuh.Kumbe we shoga, mbona Bashite alihangaika Sana kuwatafuta hukujipeleka?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaotumia hizo mambo wamekusikia watakuja, sawa eeeh
Mimi sina kifanyio cha kukufanya wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi naona kama Sophia anatafuta soko jipya baada ya kudoda, au Mimi ndio nimeleewa vibaya...????
Ni njia mojawapo kuyafikia hayo ayatakayo.....Jee haki yake ataipata hapa JF?
Mpige hata madole kama huna kifanyioWanaotumia hizo mambo wamekusikia watakuja, sawa eeeh
Mimi sina kifanyio cha kukufanya wewe
Nasoma mie comments tyuuh lol, [emoji23][emoji23][emoji23]Mbona unaenjoy sana bidada..
Sitetei machafu......Mbona unatumia nguvu nyingi sana kutetea kuliko muhanga mwenyewe?
Naanza kuliona tatizo kwako!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahIla sishangai una tamaa sana za uongozi na kujipendekeza ,uwezekano upo we ni mashine yenye injin nyuma. Sasa huko CCM mpaka upate teuzi si watakuwa wamekuchosha
'des oiseaux similaires volent ensemble!Sitetei machafu......
Kama kijana wa CCM nina wajibu wa kukumbusha miiko na taratibu za heshima zinazotambuliwa na Katiba ya chama na nchi....silazimishi kusikilizwa.....
Endelea kuliona tatizo langu.....
Mbona Unamtetea sana huyu mchicha mwiba? Mwenzako hata hana habari wewe mishipa ya shingo inakutoka. Au ndiyo ndege wafananao huruka pamoja?Ni njia mojawapo kuyafikia hayo ayatakayo.....