Gerson Msigwa aniombe radhi hadharani kupitia chombo cha habari alichonichafulia jina na Utu wangu

Gerson Msigwa aniombe radhi hadharani kupitia chombo cha habari alichonichafulia jina na Utu wangu

Wengi wanasema jamaa siyo riziki ,je waliotuhumiwa naye ni kweli walikuwa wanampakua?
 
Akapimwe marinda, kama hayapo basi hana guts za kuandika uzi mreefu na kutuchosha, kama 'linda' bado lipo alitunze sana, aache upuuzi!
 
Ila sishangai una tamaa sana za uongozi na kujipendekeza ,uwezekano upo we ni mashine yenye injin nyuma. Sasa huko CCM mpaka upate teuzi si watakuwa wamekuchosha
 
Mbona unatumia nguvu nyingi sana kutetea kuliko muhanga mwenyewe?

Naanza kuliona tatizo kwako!
Sitetei machafu......

Kama kijana wa CCM nina wajibu wa kukumbusha miiko na taratibu za heshima zinazotambuliwa na Katiba ya chama na nchi....silazimishi kusikilizwa.....

Endelea kuliona tatizo langu.....
 
Ila sishangai una tamaa sana za uongozi na kujipendekeza ,uwezekano upo we ni mashine yenye injin nyuma. Sasa huko CCM mpaka upate teuzi si watakuwa wamekuchosha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Sitetei machafu......

Kama kijana wa CCM nina wajibu wa kukumbusha miiko na taratibu za heshima zinazotambuliwa na Katiba ya chama na nchi....silazimishi kusikilizwa.....

Endelea kuliona tatizo langu.....
'des oiseaux similaires volent ensemble!

Basi sawa mkuu.
 
Back
Top Bottom