Gerson Msigwa aniombe radhi hadharani kupitia chombo cha habari alichonichafulia jina na Utu wangu

hahahahah

sasa wewe si shoga ona hat ulivyokaa tu
 
Hapa tunachangia mada iliyoletwa na muhusika.

Wewe unataka tufanye nini sasa?
Sijakuzuia kuchangia mada kiweledi.....

Kinachonishangaza ni wewe kuwa na ARGUMENTUM AD HOMINEM na kututuhumu UVCCM kuwa tumashoga na tunaishi kwa kupiga mizinga wenye nazo......je huu nao ni uchangiaji wa kiweledi ?!!?
 
Sijakuzuia kuchangia mada kiweledi.....

Kinachonishangaza ni wewe kuwa na ARGUMENTUM AD HOMINEM na kututuhumu UVCCM kuwa tumashoga na tunaishi kwa kupiga mizinga wenye nazo......je huu nao ni uchangiaji wa kiweledi ?!!?
Sasa unakataa kitu gani wakati wahusika wenyewe ndiyo wameleta hii mada?
 
Halafu huna ndevu na hayo mapozi
 
Mbona unahangaika na Msigwa lakini unamwacha unatedai aliandika hiyo habari? Kama kweli umeumizwa na au uliumizwa na ile habari ya Musiba, chombo pekee cha kukusafisha ni mahakama kwa kuwashtaki Tanzanite, Msigwa hatakusaidia kukusafisha,
 
Duh! Inasikitisha sana kwa kiongozi Kama Msigwa ambaye ni msemaji mkuu wa serikali anaweza nena maneno hayo magumu.

Hata Kama unajua mtu huyo anatenda hivyo ,angepaswa kutumia lugha na njia zingine rafiki kushauri na si kumdhalilisha kiasi hicho!!
 
Sasa unakataa kitu gani wakati wahusika wenyewe ndiyo wameleta hii mada?
Nimejibu maneno yako ya tuhuma kuwa tunaishi kwa kupiga mizinga....kwani mtoa hoja ameongelea hayo?!!
 
Tabia za hovyo anaweza kuwa nazo yeyote kwani ubaya hauna kwao....

Nilitegemea utamshambulia mtoa hoja huku ukiwa na UTHIBITISHO WA HUO USHOGA WAKE....
Mimi hainihusu hayo ni maisha yake personal kama analiwa au amezushiwa potelea pweeeteee
 
Msiba mwaka huu hadi auze na paso yake kulipa fidia za kuwachafua watu...hata nyingine hiyo inanukia.
 
Duh! Inasikitisha sana kwa kiongozi Kama Msigwa ambaye ni msemaji mkuu wa serikali anaweza nena maneno hayo magumu.

Hata Kama unajua mtu huyo anatenda hivyo ,angepaswa kutumia lugha na njia zingine rafiki kushauri na si kumdhalilisha kiasi hicho!!
Dawa ya muovu ni hiyo hakuna haja ya kuficha ficha
 
Msiba mwaka huu hadi auze na paso yake kulipa fidia za kuwachafua watu...hata nyingine hiyo inanukia.
Hivi ile ya vuga alishalipa au alienda kwa shangazi kumpigia magoti?
 
Weka vithibitisho kuwa wewe sio shoga.
 
Nenda mahakamani kadai fidia trilioni kama 100 hivi....na uiombe mahakama kuwe na kanusho kupitia magazeti ya serikali na matangazo TBC yakisema FULANI SIO SHOGA...
Akienda mahakamani yeye ndiye antakiwa tahibitishe kuwa sio shoga,hapo sasa.Lugha na tone aliyotumia katika andiko lake ni dhaifu kwa mtu ambaye hasa ameumizwa (too soft)
 
Huu uzi una wasaga kunguni wawili hawafanyi makosa katika suala zima la kusaga kunguni
 
Msigwa ni janga kwenye nafasi hiyo. Mtu ambaye amethibitishwa ni shoga kwa Nini asipelekwe mahakamani? Sheria inaruhusu ushoga??
 
Mimi hainihusu hayo ni maisha yake personal kama analiwa au amezushiwa potelea pweeeteee
Yasingekuhusu usingeshabikia kizwazwa huku ukiwa huna ushahidi.....

Endelea kuwa msukure wa Mbowe....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…