Gerson Msigwa: Hayati Rais Magufuli asipolala, hamlali

Gerson Msigwa: Hayati Rais Magufuli asipolala, hamlali

Mambo mengine ya hovyo kabisa na udikteta, akikosa usingizi yeye mnakosa wote? pia huyu Msigwa ni mnafiki mkubwa sn
 
haujaelewa
umechagua kutoelewa!!!

jinga


kasema alikuwa msumbufu kama yeye hana usingizi, basi wote mtakesha, wako watu kama hao mmoja wapo mimi muda huu naandika ujumbe huu wewe unakoroma, sasa ungekuwa msigwa wangu nishakupigia simu
Unajua tatizo la kukosa usingizi linasababishwa na nini au matokeo yake nini? Nakuachia wewe ufanye ka utafit kadogo juu ya akili yake. Sasa wewe jisifie ujinga kama yeye uone litakalo kupata.
 
By the way aliona bila yeye hakuna litakaloendelea!! Kalagabaho!!! Utafikiria Mungu alimpatia his a za Tanzania wakati wa uumbaji!! Aje aone mambo yanavyosonga Mbele bila mbwembwe
 
Msemaji Mkuu wa Serikali bwana Gerson Msigwa amefichua siri kuwa Hayati Rais Magufuli alikuwa analala anapokuwa na usingizi tu na ikitokea hana usingizi usiku mzima basi na wasaidizi wake wote hamtalala usiku huo.

Gerson Msigwa alikuwa Msemaji wa Ikulu kwenye Serikali ya awamu ya tano.View attachment 1981189
Qmkiambiwa alikuwa DIKTETA muwe mnaitika Tawile. Hizo ni Tabia za kidikteta.
 
Msemaji Mkuu wa Serikali bwana Gerson Msigwa amefichua siri kuwa Hayati Rais Magufuli alikuwa analala anapokuwa na usingizi tu na ikitokea hana usingizi usiku mzima basi na wasaidizi wake wote hamtalala usiku huo.

Gerson Msigwa alikuwa Msemaji wa Ikulu kwenye Serikali ya awamu ya tano.View attachment 1981189
kuna siku mtasema hata asipoenda chooni na nyie hamkuenda
 
By the way aliona bila yeye hakuna litakaloendelea!! Kalagabaho!!! Utafikiria Mungu alimpatia his a za Tanzania wakati wa uumbaji!! Aje aone mambo yanavyosonga Mbele bila mbwembwe
Unainjoi flyover na ndege zake tu kenge wewe
 
Dalili ya kwanza kutokuwa sawa kiafya ya akili ni Insomnia(Kukosa usingizi).
User mpya ya kutukania
Screenshot_20211021-205216.jpg
 
Kulala lala ni dalili ya uvivu. Siku ina masaa 24 tuu, siyo mengi. Trump alikuwa analala masaa 4 tuu yanamtosha, masaa 20 yaliyobakia anachapa kazi. Wachina wanachapa kazi mpaka wanalala kabisa ofisini. Kama hayati JPM alikuwa ni mchapa kazi wa aina hiyo basi alitoa mfano mzuri.
 
Hamna mwanasiasa yoyote atakayeweza kumchafua Magufuli.

Kazi za Magufuli zinaonekana kwa macho ila kazi za wachafuzi hamna hata moja inayoonekana wamekalia maneno matupu tu.

Kwa hiyo huyo Zito amepoteza muda wake na heshima yake kwa jamii.
 
Kwa hiyo alikuwa hajui faida ya kulala?

Kuna wakati mtu anaweza kufikiri anamsifia mtu kumbe ana muanika kuwa hakuwa na mipango na hajui kanuni za afya.

Ukikosa kupumzika hata dish lazima licheze, jee ndio maana lilicheza?
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hamna mwanasiasa yoyote atakayeweza kumchafua Magufuli.

Kazi za Magufuli zinaonekana kwa macho ila kazi za wachafuzi hamna hata moja inayoonekana wamekalia maneno matupu tu.

Kwa hiyo huyo Zito amepoteza muda wake na heshima yake kwa jamii.

Zitto ni mwanasiasa. Kama mwanasiasa kipimo cha uwezo na umashuhuri wake ni kwenye sanduku la kura ili aweze Kula
 
Back
Top Bottom