Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Acha upumbavu. Sisi hatuwezi kuwekeza mitambo na kuwapa utalaamu watanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NonesenseAcha upumbavu. Sisi hatuwezi kuwekeza.mitambo na kuwapa utalaamu watanzania?
View attachment 2652081
Kwa uwezo gani?! Watanzania tujifunze kujikubali kuwa kuna vitu hauwezi, na tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie?Acha upumbavu. Sisi hatuwezi kuwekeza.mitambo na kuwapa utalaamu watanzania?
Utakuwa miongoni mwao mlipata shavu na kina Kitenge sijui kangaKwa uwezo gani?!.
P
Kasuku huwa anaongea bila hata kujua anazungumza nini.Acha upumbavu. Sisi hatuwezi kuwekeza.mitambo na kuwapa utalaamu watanzania?
View attachment 2652081
Unauliza swali lile lile la miaka zaidi ya 60 Sasa..Acha upumbavu. Sisi hatuwezi kuwekeza.mitambo na kuwapa utalaamu watanzania?
View attachment 2652081
Kwa uwezo ule ule tulioweza kuwekeza 1T kuongeza kina na gateway...hao waarabu wangekua na akili km hizi zenu mpaka kesho wangekua bado jangwani wanaishi kwenye Tent...for some of us tunaofanya kazi zinazo husu raia kutoka mataifa mbali tofauti yetu na wao ni mentality.Kwa uwezo gani?!.
P
Umemjibu vyema.Kwa uwezo ule ule tulioweza kuwekeza 1T kuongeza kina na gateway...hao waarabu wangekua na akili km hizi zenu mpaka kesho wangekua bado jangwani wanaishi kwenye Tent...for some of us tunaofanya kazi zinazo husu raia kutoka mataifa mbali tofauti yetu na wao ni mentality.
Once a Slave always a Slave...its a mental thing ambayo ipo embeded kwenye DNA ya Mwafrika.
and to be honest nachukizwa sana na mitanzania inayohisi haiwezi kitu...Mungu katujalia rasilimani zote, tuna ubongo, tuna mikono na miguu miwili km wao why tushindwe...
infiriority complex, Uvivu na kupenda miteremko ndo vimetufikisha hapa...
Mpumbafuuuu,Tanzania kamwe haiwezi kuendelea kwa kupinga kila maendeleo Halafu sisi wenyewe hatuyafanyi
Kuendesha Bandari ndiyo vitu ambayo hatuwezi kufanya? yaani miaka 62 ya uhuru hatuwezi kuwa na watu miongoni mwetu kuiongoza Bandari kwa ufanisi? Sasa huo uhuru ulikuwa na maana gani kama mpaka sasa Bandari tu inakushinda, hiyo nchi si itakuwa balaa.
Basi waachie madaraka tuweke wengine
Ingelikua hivyo wangefanya Toka zamani. Nchi imejaa watu wanaofuata upepoAcha upumbavu. Sisi hatuwezi kuwekeza.mitambo na kuwapa utalaamu watanzania?
View attachment 2652081