Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nahisi sana takuwa yule mwanamama wa utaliiNahisi kama kutakuwa na msemaji mpya basi atateuliwa mwanamama na si mwanaume...
too late. mtu alieonyesha kujipendekeza ili apate cheo. huyo mtu ni MNAFIKI.Pascal Mayalla pitia hapa Mkuu naomba Mungu upewe hii nafasi.
Doooh! Toka lini ni marufuku mtu kueleza mawazo yake katika jukwaa hili huru?too late. mtu alieonyesha kujipendekeza ili apate cheo. huyo mtu ni MNAFIKI.
no qualification.
na kama una mpigia debe umefeli