Gerson Msigwa: Puuzeni, Serikali hatuna mpango wa kununua vichwa vya treni vya Dizeli

Wangenunua za kutumia solar-power tu.Ndoho shida.
 
Huyu anavyoongea tu hata kama hujui Kiswahili kama umesoma Cuba unajua hapa tumepigwa.

Washaona watanzania ni embeciles wanawageuza kama chapati tu! Sasa anamkosoa CEO wa TRC? Na kwa akiki yake anaamini ataaminika tu
 
Je kuna mwenye video M.Kadogosa alivyokuwa anaongea tupate burudani kidogo huku tukiwa tunapuuza taarifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…