Gerson Msigwa: Serikali tayari imeshanunua treni 10 za mchongoko, 8 zimeshawasili

Nimemtukana nani jamii forums! Na unaweza kuweka ushahidi wa kuonesha ninashinda humu masaa 24? Nimekujibu kwa mtazamo wangu, wewe umepaniki! Jibu kwa hoja. Usitafute visingizio vya uongo.
Ushahidi upo ndugu yangu. Maana nikipitia Thread zote hapa JF zimejaa comments zako tu.
Tueleze kwanini muda wote upo JF? Je, hii ni ajira yako?
 
Heshimu mawazo ya mtu mifi wewe. Au unafikiri kila mtu yupo kwa ajili ya kulamba miguu ya watu wengine kama mnavyofanya nyinyi uvccm msiojitambua.
🤣 🤣 🤣 🤣 Jamaa kauliza swali zuri wewe unakuja na janja janja ya kuogelea kulamba miguu. Kama kweli dishi lako halijayumba jibu swali lake.
 
Ushahidi upo ndugu yangu. Maana nikipitia Thread zote hapa JF zimejaa comments zako tu.
Tueleze kwanini muda wote upo JF? Je, hii ni ajira yako?
Hopeless! Umekosa hela ya mboga mpaka uumie kiasi hiki?
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 24/7 upo JF. Tafuta kazi ya maana kijana, acha kuchamba watu JF
Dah! Bahati iliyoje hii! Nipe basi kazi ya kukugonga kila siku 24/7. Na uzuri mashangingi wengi mnaopatikana huko Lumumba, si haba! Mkipita mtaani mnatingisha minyama tu.
 
..imeingiza hela kibao relative to what?

..reli zote huingiza faida kwa kusafirisha MIZIGO sio abiria.

..sisi tunahimiza RATIBA na muda wa kukamilisha mradi izingatiwe ili SGR itimize lengo la kuwa reli ya MIZIGO.
Sgr siyo reli ya mizigo we zamwamwa
 
Treni za mchongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…