Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Msemaji wa Serikali na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais( Ikulu) ni nafasi mbili tofauti zenye majukumu tofauti.
Lakini kwa uteuzi wa Gerson Msigwa na Jaffari Haniu itakuwa vigumu sana kutenganisha majukumu haya na kuleta picha kwamba Gerson anamfunika Jaffari au anaingilia kazi zake.
Kwanini nimeona hivi; majukumu haya kwa sasa nivigumu kuyatenganisha na social media. Kila barua au maelekezo lazima yapite kwenye mitandao ndipo yawafikie walengwa.
Jaffar Haniu bado jina lake ni geni mitandaoni, Gerson Msigwa Ni mpana sana mitandaoni. Lakini pia utawala huu siyo utawala wakujimwambafai kwamba kila alipo kiongozi wa Nchi basi Mkurugenzi lazima asimame aseme na hata akiwa anasema bado mwangwi hautakuwa mkubwa Kama awali.
Kwa mazingira haya na ili kutenganisha majukumu haya kwenye mitandao ambayo ni chanzo kikuu Cha habari nimshauri mdogo wangu asiwe mwingi sana kuhabarisha ya ikulu. Amwache Jafari afanye kazi hiyo na kuzifanya account za Jaffari kuwa source ya taarifa za Ikulu.
Page za Msigwa zikiendelea kuwa source ya taarifa za Ikulu italeta picha Kama Hawa wawili ni wamoja na kwamba mmoja anaweza kufanya yote mawili.
Ntatoa mfano; ukiangalia utenguzi na uteuzi wa Jana utaona page ya Msigwa na Jaffari zilipost same barua ila mmoja aliweka nakshi na waliozoea page ya Msigwa awakukimbilia kwa Jaffari Tena.
Ni mambo madogomadogo ila tukiyasema yanaleta mtengano wa kimajukumu, na tusiposema sisi huku mitandaoni may be wanaohusika awataweza kulisemea.
Niwatakie kazi njema wadogo zangu
Lakini kwa uteuzi wa Gerson Msigwa na Jaffari Haniu itakuwa vigumu sana kutenganisha majukumu haya na kuleta picha kwamba Gerson anamfunika Jaffari au anaingilia kazi zake.
Kwanini nimeona hivi; majukumu haya kwa sasa nivigumu kuyatenganisha na social media. Kila barua au maelekezo lazima yapite kwenye mitandao ndipo yawafikie walengwa.
Jaffar Haniu bado jina lake ni geni mitandaoni, Gerson Msigwa Ni mpana sana mitandaoni. Lakini pia utawala huu siyo utawala wakujimwambafai kwamba kila alipo kiongozi wa Nchi basi Mkurugenzi lazima asimame aseme na hata akiwa anasema bado mwangwi hautakuwa mkubwa Kama awali.
Kwa mazingira haya na ili kutenganisha majukumu haya kwenye mitandao ambayo ni chanzo kikuu Cha habari nimshauri mdogo wangu asiwe mwingi sana kuhabarisha ya ikulu. Amwache Jafari afanye kazi hiyo na kuzifanya account za Jaffari kuwa source ya taarifa za Ikulu.
Page za Msigwa zikiendelea kuwa source ya taarifa za Ikulu italeta picha Kama Hawa wawili ni wamoja na kwamba mmoja anaweza kufanya yote mawili.
Ntatoa mfano; ukiangalia utenguzi na uteuzi wa Jana utaona page ya Msigwa na Jaffari zilipost same barua ila mmoja aliweka nakshi na waliozoea page ya Msigwa awakukimbilia kwa Jaffari Tena.
Ni mambo madogomadogo ila tukiyasema yanaleta mtengano wa kimajukumu, na tusiposema sisi huku mitandaoni may be wanaohusika awataweza kulisemea.
Niwatakie kazi njema wadogo zangu