abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
We unawazungumzia wananchi wa nchi ipi????
Kutoa ufafanuzi wa jambo ambalo ni jukumu la serikali inayoendeshwa kwa kodi za wananchi sio kwasababu hao wananchi kuna jambo wanaweza kumfanya rais.ila unatakiwa tu ujue kua wananchi ndio waajiri wa huyo rais na wakiamua kumkwamisha wanaweza.