monga farm
Member
- Jun 25, 2021
- 89
- 163
Usijaribu kwenye magari ya chini ni shida sana japo faida ni nyingi kuliko hasara lakn mimi niliuza langu la gesi sababu system ya umeme ilikuwa inasumbua sana halafu kupanda mlima na nguvu ya gari ilishuka ,buti space yote Ilijaa mtungiNasubiria hasara maana haka ka subaru nakathamini sana eti