Gesi asilia inaweza kuifanya tz isitegemee tena misaada

Gesi asilia inaweza kuifanya tz isitegemee tena misaada

eucalyptos

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2010
Posts
391
Reaction score
139
Ndugu wanajamvi,
Kutokana na maongezi ambayo tumekuwa nayo juu ya gesi yetu ya asili, ninachikua fursa hii kutoa mawazo yangu juu ya uthamani na kazi za gesi hii vitakavyoleta maendeleo ya haraka.

Maoni yangu:-
1. Gesi hii inatakiwa itumike kwaajili ya kuzalishia umeme.
Hii itaokoa gharama za ununuzi wa mafuta yanayotumika kuzalishia umeme.

2. Tunatakiwa kutumia gesi kwa kuendesha magari kama wanavyofanya India. Huko india magari makubwa kwa madogo hata bajaji zinatumia gesi. Hii itaondoa gharama za uagizaji wa Petrol, Diezel na mafuta ya taa toka nje ambayo kwa mwaka 2010 zilikuwa zaidi ya shilingi TRILIONI TATU (3Tr)-Source Tanzania Oil - imports - Economy.
Matumizi ya gesi katika kuendesha magari hayachafui mazingira (hewa).
Katika matumizi ya taifa ya pesa za kigeni za ununuzi wa mafuta ndio unaoshikilia namba moja katika matumizi yote. Iwapo pesa hizi zitaokolewa zitawekwa kwenye matumizi ya maendeleo ya taifa. Pesa hizi ni nyingi sana, hatuhitaji kuuza nje ya nchi (export) gesi iliyosindikwa ili kupata pesa za maendeleo.

Tukumbuke kwamba nchi nyingi za Africa zinazouza mafuta nje, mapato yake hayajaweza kuleta maendeleo katika nchi hizo.
Kwahiyo mapendekezo yangu ni kuwa viwanda vinavyotaka kusindika gesi na kuuza nje, visimamishwe kwanza mpaka mahitaji ya ndani yametosheleza.

3. Gesi inatakiwa itumike kwa matumizi ya majumbani ili kuondoa gharama za kuagiza gesi(LPG) inaayotumika kwa sasa na kunusuru mazingira (kupunguza matumizi ya kuni na mkaa) pia kuokoa afya za wananchi.

Nawasilisha.
 
Ndugu wanajamvi,
Kutokana na maongezi ambayo tumekuwa nayo juu ya gesi yetu ya asili, ninachikua fursa hii kutoa mawazo yangu juu ya uthamani na kazi za gesi hii vitakavyoleta maendeleo ya haraka.

Maoni yangu:-
1. Gesi hii inatakiwa itumike kwaajili ya kuzalishia umeme.
Hii itaokoa gharama za ununuzi wa mafuta yanayotumika kuzalishia umeme.

2. Tunatakiwa kutumia gesi kwa kuendesha magari kama wanavyofanya India. Huko india magari makubwa kwa madogo hata bajaji zinatumia gesi. Hii itaondoa gharama za uagizaji wa Petrol, Diezel na mafuta ya taa toka nje ambayo kwa mwaka 2010 zilikuwa zaidi ya shilingi TRILIONI TATU (3Tr)-Source Tanzania Oil - imports - Economy.
Matumizi ya gesi katika kuendesha magari hayachafui mazingira (hewa).
Katika matumizi ya taifa ya pesa za kigeni za ununuzi wa mafuta ndio unaoshikilia namba moja katika matumizi yote. Iwapo pesa hizi zitaokolewa zitawekwa kwenye matumizi ya maendeleo ya taifa. Pesa hizi ni nyingi sana, hatuhitaji kuuza nje ya nchi (export) gesi iliyosindikwa ili kupata pesa za maendeleo.

Tukumbuke kwamba nchi nyingi za Africa zinazouza mafuta nje, mapato yake hayajaweza kuleta maendeleo katika nchi hizo.
Kwahiyo mapendekezo yangu ni kuwa viwanda vinavyotaka kusindika gesi na kuuza nje, visimamishwe kwanza mpaka mahitaji ya ndani yametosheleza.

3. Gesi inatakiwa itumike kwa matumizi ya majumbani ili kuondoa gharama za kuagiza gesi(LPG) inaayotumika kwa sasa na kunusuru mazingira (kupunguza matumizi ya kuni na mkaa) pia kuokoa afya za wananchi.

Nawasilisha.

Ila kwa ishu ya gesi huko tunako endelea inaweza kuwa kama Product zingine tu, kwa sasa nchi nyingi sana zimegundua Gesi yao kwa kiwango cha kutisha, Kwa Tanzania karibia majirani zetu wote wamevumbua gesi, Msumbiji ana kiwango kikubwa cha gesi, SomaLand wanayo ya kufa mtu, Mauritius wanayo ya kutosha, Uganda wanamafuta na Gesi, Kenya kule Lake Trukana nako ni hivyo hivyo

Na Marekani mmoja wa wanunuzi wakuu kabisa wa Gesi Duniani anajiandaa kuanza Kuchimba yakwake, ambayo huenda ikavuruga kabisa biashara ya Gesi Duniani,

Na kwa Uchina Yeye ndo wako bise kujenga Mabomba kutoka URUSI,TAGIKSTAN kuelekea Uchina, Na kale ka kisiwa wanacho gombania na Japani Kana Gesi ya Kufa Mtu,

Brazili Nchi inayo kuja kwa kasi kiuchumi wanachimba Mafuta na Gesi, So Mataifa makubwa kiuchumi kama USA, BRAZIL wanapo kuwa wanaanza kutumia nishati zao na tena kuuza nje automatically Bei zitashuka sana make wale ndo mai consumer wa Gesi Duniani,

SO HUKO TUNAKO ELEKEA GESI NA MAFUTA HAYATAKUWA ISHU TENA, JUZI AUSTRALIA IMEGUNDUA HAZINA KUBWA KABISA YA MAFUTA AMBAYO NI MENGI KULIKO YA SAUDIA

so mataifa ya mwanzo kugundua na kuanza kuuza ndo yaliyo faidika na muda si mrefu Waarabu inabidi watafute ishu zingine za kufanya make mafuta hayatakuwa na Dili tena kama mwanzo na mataifa majanja kama IRANI ilisha soma alama za nyakati ndo maana injizatiti kwenye viwanda na kuacha kutegemea Gesi na Mafuta

 
Ila kwa ishu ya gesi huko tunako endelea inaweza kuwa kama Product zingine tu, kwa sasa nchi nyingi sana zimegundua Gesi yao kwa kiwango cha kutisha, Kwa Tanzania karibia majirani zetu wote wamevumbua gesi, Msumbiji ana kiwango kikubwa cha gesi, SomaLand wanayo ya kufa mtu, Mauritius wanayo ya kutosha, Uganda wanamafuta na Gesi, Kenya kule Lake Trukana nako ni hivyo hivyo

Na Marekani mmoja wa wanunuzi wakuu kabisa wa Gesi Duniani anajiandaa kuanza Kuchimba yakwake, ambayo huenda ikavuruga kabisa biashara ya Gesi Duniani,

Na kwa Uchina Yeye ndo wako bise kujenga Mabomba kutoka URUSI,TAGIKSTAN kuelekea Uchina, Na kale ka kisiwa wanacho gombania na Japani Kana Gesi ya Kufa Mtu,

Brazili Nchi inayo kuja kwa kasi kiuchumi wanachimba Mafuta na Gesi, So Mataifa makubwa kiuchumi kama USA, BRAZIL wanapo kuwa wanaanza kutumia nishati zao na tena kuuza nje automatically Bei zitashuka sana make wale ndo mai consumer wa Gesi Duniani,

SO HUKO TUNAKO ELEKEA GESI NA MAFUTA HAYATAKUWA ISHU TENA, JUZI AUSTRALIA IMEGUNDUA HAZINA KUBWA KABISA YA MAFUTA AMBAYO NI MENGI KULIKO YA SAUDIA

so mataifa ya mwanzo kugundua na kuanza kuuza ndo yaliyo faidika na muda si mrefu Waarabu inabidi watafute ishu zingine za kufanya make mafuta hayatakuwa na Dili tena kama mwanzo na mataifa majanja kama IRANI ilisha soma alama za nyakati ndo maana injizatiti kwenye viwanda na kuacha kutegemea Gesi na Mafuta


Ni kuwakatisha watu tamaa.
Kwaiyo unashauri tusichimbe gesi kisa wenye gesi ni wengi?

Duniani kuna zaidi ya nchi 196.
Na nchi zenye gesi ni 91. Lakini sio zote zinatoa gesi kwa wingi.
Na nchi zingine zinatolewa ktk list kila mwaka, kutokana na gesi haba kutoka, na nchi zingine gesi kuisha.
Gesi ni kama mafuliko, leo ujaa keso ukame.
 
Back
Top Bottom