Gesi inavyochukuliwa

Gesi inavyochukuliwa

Noor

Senior Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
146
Reaction score
49
Wote wenye mtazamo wa kua gesi ibaki Mtwara wanahisi gesi itauzwa kwenye chupa. Maana wanapiga kelele kwenye swala la kitaalam bila kujua lolote.
Elimu inahitajika ya kuwaelimisha watu na makundi mbalimbali ktk kutambua maana ya rasilimali za Taifa
 
Swala si physically ibaki huko,ni kwamba iwafaidishe mkoa wa mtwara,kuanzia miundo mbinu mpaka huduma bora za afya kama zahanati na madaktari bingwa wa kutosha
 
Back
Top Bottom