Green Apple
Member
- Feb 2, 2012
- 84
- 10
kanunue dawa inaitwa MUCOGEL.....itakusaidia
Acha kula machipsi ya mitaani na maharage. Tumia PPI kwa mwezi 1 na Antiacids masaa 2 kabla ya mlo na masaa 2 baada ya mlo na unapoenda kulala.
Ni vyema ukajua tatizo linaanzia wapi. Kwa ninavyofahamu, gesi ya tumboni huwa ni kiasi kidogo tu ambacho huingia wakati tunakula. Unapoona inafikia kuwa kero kubwa mpk unashindwa kukaa vyema basi upo uwezekano ikawa ni dalili za vidonda vya tumbo.
Fanyia utafiti hilo, jaribu kula pilipili au kukandamiza bia ukiwa na njaa, ukiona maumivu na viungulia ujue hivyo ni vidonda vya tumbo.