Gesi ya Kutumia mabaki ya Chakula na maji yaja na malipo ya awamu

Gesi ya Kutumia mabaki ya Chakula na maji yaja na malipo ya awamu

As you say lugha za kibiashara.
Kwangu nina kijimtambo, actually nilijenga kama kisima hivi cha juu, then nikaweka poly pipe as a feeder, na juu nikaweka simtank la 2000liters (liligeuzwa juu chini,chini juu as a gas collector; linapanda gas ikijaa) lililoconnectiwa na horse pipe ambayo inapeleka gas kwenye stove. For a starter, niliweka cowdung (ili kupata bacteria) na lots of water. Then nikaendelea kufeed hizo kitchen wastes.

It works very well, na nilikuwa napata mpaka 3 hrs of cooking, but you have to feed the moster with about 20 to 40 lts of maujiuji ya mabaki (you need to blend hayo mauchafu ili upate uji ambao hao bacteria watakula) hapo ndipo palipokuwa na kazi. Kwanza kwa familia yangu yenye watu wasio zidi 3 ambao wote ni wavivu wa kula, mabaki yalipatikana pale tunapotengeneza juice tu. siku zingine zote inabidi binti atafute kwa jirani au nichukue mabaki from the office. Hiyo kitu nilishindwa kuendelea nayo kwa muda; pia natumia gharama ya umeme kusaga mabaki ya chakula ili nisave anyway; with a bigger family au kama unamgahawa you need to have this.

Nitawatembelea ofisini kwao nione, but again a kilo of kitchen waste acha 3 kilos bado ni kubwa, na si kila siku mtakula viazi au ndizi, kuna siku za tambi, wali n.k, unless mpike chakula kingi ili mbakishe makombo!
.

Mkuu, Kaunga!

Thanx ... leo nimeelewa ....... hapo kwenye hiyo biashara ya kuomba mabaki ya chakula kwa jirani na kutembea maofisisni & mahotelini! .... nahi! ... labda kwa watu wenye familia kubwa.

Your post imekuwa ya msaada mkubwa kwangu as nilikuwa naijua hii kitu ila tatizo lilikuwa kwenye capacity!

.... thanx!

.
 
Mkuu unaweza kuniambia ni kwanini hii huwezi kutumia mbolea ya wanyama Je mmegundua bacteria tofauti na hao hapo chini:-



Mkuu kama hao wanaweza ku-break down mabaki ya mimea kwanini washindwe kinyesi ? (Je hawa ni hybrid au ?)


mtambo huu umetengenezwa kwa matumizi ya kuweka mabaki na taka za chakula tu, japo wakati unaanzishwa unaanzwa kwa kuwekwa mbolea ya ng'ombe lita 80, inayochanganywa na maji lita 110 pamoja na nusu kilo ya unga wa ngano, after that ndio wadudu wanapatikana na mtumiaji anaanza kulisha hayo mabaki ya chakula. ila kuna mwingine ambao unatumia mbolea ya wanyama.
 
.

Mkuu, Kaunga!

Thanx ... leo nimeelewa ....... hapo kwenye hiyo biashara ya kuomba mabaki ya chakula kwa jirani na kutembea maofisisni & mahotelini! .... nahi! ... labda kwa watu wenye familia kubwa.

Your post imekuwa ya msaada mkubwa kwangu as nilikuwa naijua hii kitu ila tatizo lilikuwa kwenye capacity!

.... thanx!

.

ulishwaji wa mtambo huu ni mara moja kwa siku, mfano, unaweza ukaweka ratiba yako ya kuweka mabaki ya chakula kwenye mtambo kila siku saa saba mchana. kuhusu ujazo wa mabaki ya chakula, sio viazi na ndizi tu, kuanzia asubuhi hadi jioni tuna produce taka kwenye familia zetu hasa kwa wenye familia kuanzia watu 3, maganda ya nyanya, vitunguu, ugali uliobaki, mboga za majani yale mabaki yake na vingine, kama hayapatikani kwa mchana, unaweza ukatunza ya mchana, ukachanganya na ya jioni, obviously unaweza pata nusu kilo. vilevile kwa walio karibu na vibanda vya wauza chips, maganda yale ya viazi yanafaa pia.
 
Thanks Mkuu
Kwahio hii technic yako ya mtambo wako ni kama huo hapo juu wa Kaunga ?., Pia mkuu nikikosea nikaweka samadi hawa wadudu watakufa, (au ni kwamba hawafi ila its efficient kutumia mimea kuliko samadi).. na process ya kwanza ni kutengeneza mazingira mazuri zaidi ya hao wadudu kuzaliana na kwa kuweka mimea you get more methane kuliko kwenye samadi ?

My point being are they different micro organisms which eat plants different from the ones eating samadi ?

Watakufa because its not their food, wanatakiwa wale na chakula chao ndio hzo taka na mabaki ya chakula. Mtambo umetengenezwa katika vipande vitano ambavyo ni digester tank ( wadudu wanapokaa ), gas holder( inahifadhi gesi) water ballast( contains water), inlet panels ( sehemu ya kuwekea mabaki ya chakula), outlet panels ( mabaki yanatoka kama mbolea) na corset ( ambayo inasaidia tank kuwa katika shape yake)
 
Watakufa because its not their food, wanatakiwa wale na chakula chao ndio hzo taka na mabaki ya chakula. Mtambo umetengenezwa katika vipande vitano ambavyo ni digester tank ( wadudu wanapokaa ), gas holder( inahifadhi gesi) water ballast( contains water), inlet panels ( sehemu ya kuwekea mabaki ya chakula), outlet panels ( mabaki yanatoka kama mbolea) na corset ( ambayo inasaidia tank kuwa katika shape yake)

Hao wadudu wenu ni tofauti na hawa :-

Different Types of Organisms Present in a Biogas Plant
A biogas plant uses microorganisms to produce fuel froma variety of sources of organic material, including crops, agriculturalresidue, waste material and table scraps. Different kinds of bacteria, workingunder anaerobic conditions (without oxygen), ferment and digest the material toproduce methane gas. Instead of burning fossil fuels, such as coal or gasoline,people can use a biogas plant to make fuel out of farm animal waste that mightotherwise be discarded. There are three stages of biogas production, using three different types of bacteria.

1. FermentativeBacteria
During the first stage, fermentativebacteria in a digester tank decompose the organic material, breaking downproteins, fats and carbohydrates into less complex components, such as aminoacids and peptides.

2. Acetogenic Bacteria
During the second stage, acetogenic bacteriaconvert the decomposed material into acetic acid, carbon dioxide and hydrogen.

3. Methanogenic Bacteria
During the third stage, methanogenic bacteriause the acetic acid, carbon dioxide and hydrogen to produce methane. At thispoint, people can collect the methane gas and use it for fuel.



Au hawa ni ruminant bacterias ?
 
Ebu tujuze garantii ya mtambo na ubora wake?

garanti ni miaka miwili ambayo unapata na after sales services, jiko la plate moja bure, na kufanyiwa installation na mafundi bure. tank lake linadumu for more than 20 years bz limetengenezwa kwa material ya simtank
 
Mkuu unaweza kuniambia ni kwanini hii huwezi kutumia mbolea ya wanyama Je mmegundua bacteria tofauti na hao hapo chini:-



Mkuu kama hao wanaweza ku-break down mabaki ya mimea kwanini washindwe kinyesi ? (Je hawa ni hybrid au ?)

Hvi we sun wu shida yako nn ni unataka kutuonesha unajua sana kutengeneza biogas au una umetoka SUA juzi juzi kwa hyo una mcheche wa kumwaga material. .Topic hapo juu ina onesha jinsi mteja anavyo weza kulipa kwa instalment lakini wewe umekuja na mada yako ya samadi mara kinyesi. Mara kitu n kile kile acha uwa conservative mi nime uona na nnayo huu mtambo its differnet fom wat ur say or know ingawa theme ni mmoja. Take this as a challenge vokswagen ni gari Landcrusier ni gari theme zao ni usafirishaji .lakini utengenzaji ni tofauti landcrusier inatumia rejeter vokswagen {kobe} hazina rejeta .ingawa zote ni gari. Elewa hata kidogo basi una penda ligi kwa vitu ambavyo hata si vya msingi tena ni out of topic husika hapo juu. .kwa ushauri wangu nenda hapo simgas wambie wakupe direction ukaone wats different frm wat u know ndo uje ubishe .
 
Hvi we sun wu shida yako nn ni unataka kutuonesha unajua sana kutengeneza biogas au una umetoka SUA juzi juzi kwa hyo una mcheche wa kumwaga material. .Topic hapo juu ina onesha jinsi mteja anavyo weza kulipa kwa instalment lakini wewe umekuja na mada yako ya samadi mara kinyesi. Mara kitu n kile kile acha uwa conservative mi nime uona na nnayo huu mtambo its differnet fom wat ur say or know ingawa theme ni mmoja. Take this as a challenge vokswagen ni gari Landcrusier ni gari theme zao ni usafirishaji .lakini utengenzaji ni tofauti landcrusier inatumia rejeter vokswagen {kobe} hazina rejeta .ingawa zote ni gari. Elewa hata kidogo basi una penda ligi kwa vitu ambavyo hata si vya msingi tena ni out of topic husika hapo juu. .kwa ushauri wangu nenda hapo simgas wambie wakupe direction ukaone wats different frm wat u know ndo uje ubishe .
Mkuu ili sio jukwaa la matangazo.., au hii sio closed topic, ukisema unauza kitu au unakitu unatoa upenyo wide open ya kuulizwa na kujibu.., wewe kama hauna jibu unasema sijui, au kama hauna swali kaa kimya.., mimi mwenye swali nauliza na mwenye jibu anajibu

Sasa wewe kama unauza gari alafu unasema ni ndege lazima tukuulize au tuelezee undege wake unakwisha wapi (sina tatizo na huyu mtoa mada hapa ila nilikuwa nina shida na wewe uliyesema hii gesi unatumia milele mara haiishi, ambayo in short ulikuwa unadanganya mchana kweupe.., sasa kama unataka kudanganya mtu asikuchallenge basi watumie PM au andika kwamba sitaki maswali... (enzi za kuuziwa mbuzi kwenye gunia zimekwisha mtu kununua kitu mpaka ajue from A to B) nashukuru jamaa anajibu tofauti na wewe kule kwenye thread yako.

Alafu mkuu hizi ni basic ideas, wewe kama unadhani kujua kitu kuhusu biodigester au agriculture mpaka utoke SUA, au uwe na degree (hii sio rocket science na information zipo widely available for everyone to see)
 
ni methanogenic.
Okay sasa nimekupata, kwahio inaruka some phases na ku-convert hayo mabaki direct to methane, sasa kwenye issue uliposema kwamba nikiweka mfano kinyesi wanakufa hawa bacteria (wanakosa chakula), je mfano nikisafiri mwezi mzima, au nikiacha kutumia mtambo wangu kwa muda mrefu (hawa jamaa hawafi kwa kukosa chakula pia) ?
 
Okay sasa nimekupata, kwahio inaruka some phases na ku-convert hayo mabaki direct to methane, sasa kwenye issue uliposema kwamba nikiweka mfano kinyesi wanakufa hawa bacteria (wanakosa chakula), je mfano nikisafiri mwezi mzima, au nikiacha kutumia mtambo wangu kwa muda mrefu (hawa jamaa hawafi kwa kukosa chakula pia) ?

kama unasafiri it means hawatapata chakula so watakufa, kama nilivyoeleza mwanzo wanatakiwa wale ndio waproduce gas. na wakifa mtambo inabidi uzalishwe upya. inashauriwa kama mtu mwenye huu mtambo anasafiri labda for a week or month au hata mwaka, basi aache mtu ambae ataweza kuulisha mtambo.
 
Familia ya watu 4 yaweza zalisha mabaki ya kulisha hiyo plant na kuproduce at least 2 hours of cooking? Again huo mtambo wako unakuja na grinder/blender ya kusaga hayo mabaki ili yaweze kuliwa na hao bacteria; coz we know hao bacteria wanakaa kwenye guts zetu na wanakula chakula kilichosagwa tayari!
Familia ya watu 4 wanaweza zalisha mabaki taka za chakula. mfano maganda ya nyanya, vitunguu, mboga za majani yale mabaki yake, ugali uliobaki au ukoko wake, na vingine isipokuwa vitu vyenye acid, chemicals, vifuu vya nazi, mifupa, mchanga, maji yenye sabuni na mafuta.

kuhusu kusagwa kwa chakula, digester lenyewe ndio lina process kila kitu. ndio maana kwa upande mwingine inatoka mbolea ambayo inatokana na kusagwa kwa hicho chakula kwenye hilo tank.
 
Mkuu ili sio jukwaa la matangazo.., au hii sio closed topic, ukisema unauza kitu au unakitu unatoa upenyo wide open ya kuulizwa na kujibu.., wewe kama hauna jibu unasema sijui, au kama hauna swali kaa kimya.., mimi mwenye swali nauliza na mwenye jibu anajibu

Sasa wewe kama unauza gari alafu unasema ni ndege lazima tukuulize au tuelezee undege wake unakwisha wapi (sina tatizo na huyu mtoa mada hapa ila nilikuwa nina shida na wewe uliyesema hii gesi unatumia milele mara haiishi, ambayo in short ulikuwa unadanganya mchana kweupe.., sasa kama unataka kudanganya mtu asikuchallenge basi watumie PM au andika kwamba sitaki maswali... (enzi za kuuziwa mbuzi kwenye gunia zimekwisha mtu kununua kitu mpaka ajue from A to B) nashukuru jamaa anajibu tofauti na wewe kule kwenye thread yako.

Alafu mkuu hizi ni basic ideas, wewe kama unadhani kujua kitu kuhusu biodigester au agriculture mpaka utoke SUA, au uwe na degree (hii sio rocket science na information zipo widely available for everyone to see)

Huna jipya wewe kuna mtu atakuzia mbuzi kwenye gunia alafu akupe 2 years garanti tena sio hiyo tu na maintance juu...tatzo lako wewe na kinacho nfanya nikudis unataka muanzisha thread akubali unacho jua wewe ndio final, acha uconsevative kuna njia nyingi ya mtu ku develope kitu au ku advance kitu.mwanzisha thread amesha kwambia its different lakini una bishabisha tu unabisha nn wenye busara wame enda kuona mtambo ulivyo.we ume baki ku ngangania wigo mpana wa kudiscus.ingeuwa hii knowldge ya biogas haitaji shule wenzio wasinge uliza maswali kwa sababu wanajua. Nenda simgas ukaneshwe how technlogy grows and develope.usitulete idea za zamani hapa za kutumia kinyesi
 
Huna jipya wewe kuna mtu atakuzia mbuzi kwenye gunia alafu akupe 2 years garanti tena sio hiyo tu na maintance juu...tatzo lako wewe na kinacho nfanya nikudis unataka muanzisha thread akubali unacho jua wewe ndio final,
Mkuu naona sasa umekosa busara, mbona mleta mada hajaja juu wewe ndio unakuja juu.., issue ilikuwa kwangu na wewe kwenye thread yako ambayo ulisema mtambo unatumia gesi inakaa milele mara hii sio biodigester ambapo mwisho wa siku ulikuwa proved wrong (mkuu ushauri kama hujui kitu bora kaa kimya kuliko kutoa wrong information).., kudanganywa sio kosa ila ni kudanganywa kitu unachojua au kuambiwa hiki ni kile wakati sio.., tumeongea na mleta mada tumeweza kuelewana, na hii ndio kazi ya open forum, na kama wewe unaona sio..., jibu kwa hoja na sio kuja kwa points ambazo haziongezei chochote kwenye issue at hand zaidi ya kutupeleka off topic (sasa badala ya kuongelea mtambo tunaongelea ujuzi au kutokujua kwangu :doh:

acha uconsevative kuna njia nyingi ya mtu ku develope kitu au ku advance kitu.mwanzisha thread amesha kwambia its different lakini una bishabisha tu unabisha nn wenye busara wame enda kuona mtambo ulivyo

Mkuu hapa sio kubisha mtu akisema its different, anayetaka kujua anauliza different how.., hapa sio rocket science kuambiwa ni tofauti unaondoka bila kuuliza kama wewe huwa huulizi fair to you lakini mwenye swali anauliza ndio maana its an open forum, na kwa maswali yangu tumefikia hitimisho na mleta mada jambo ambalo lilikushinda kule kwenye thread yako (ukisema kwamba mmegundua technology mpya... ), (technology mpya my foot !!!! ) )

.we ume baki ku ngangania wigo mpana wa kudiscus.ingeuwa hii knowldge ya biogas haitaji shule wenzio wasinge uliza maswali kwa sababu wanajua. Nenda simgas ukaneshwe how technlogy grows and develope.usitulete idea za zamani hapa za kutumia kinyesi

Kweli wewe utakuwa una matatizo yaani full contradictions kwahio biogas kujua inahitaji kwenda shule ?, na kujua kitu mpaka uende shule ?, alafu umesema nisiulize niende kwenye ofisi zao wakati mtu anayejua mitambo yao yupo hapa (hivi kama sio kupoteza muda ni nini ?, yaani naweza kupata jibu hapa niende kwenye ofisi zao), alafu unajua kabisa kujua hii kitu unahitaji kuuliza alafu unasema nisiulize ?

Kwahio kutumia kinyesi ni idea ya zamani (Mkuu ngoja nikupe elimu ya bure).., vyote kinyesi mabaki ya plants yanao uwezo wa kutoa methane.., na vyote baada ya kazi yake yanakuwa mbolea, na kutumia kinyesi sio uzamani ni availability ya materials.., na umeona kabisa jamaa amesema hapo kwenye mtambo wao kuna methogenic bacterias.., ambao ndio wanaleta hio gas methane.., Hakuna uzamani wala uleo bacterias ni hao hao, ila ukiweka kinyesi kuna three phases mpaka methogenic kufanya kazi.., pia kwenye hizo biodigester unazoita za zamani, ukiweka mabaki ya chakula sio kwamba hayafanyi kazi, so long as hakuna oxygen, bacterias watatengeneza methane.., Jamani sometimes its better kusema hatujui au kuuliza na sio kuanza kuongea vitu ambavyo hatuna uhakika

Naona kuongelea ujuzi wangu au ujinga wangu ni kopeta muelekeo na mada ya mleta hoja nadhani kama una muda wa kuongelea ni wapi nimekosea au ni wapi ulikuwa sawa twende kwenye thread yako (sababu hapa huyu simgas hajaleta ridiculous claims ambazo ulizileta wewe, new technology or not what you said was misleading big time)
 
Back
Top Bottom