simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Hivi karibuni premier gas ltd kenya walizindua mtungi wa kilo moja a.k.a pima gas. Unaweza kujaza/kununua gas kuanzia ksh 50(tsh 1000) kwa mawakala ambao wanayo kifaa cha kujazia (dispenser).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Solution ni kuwa na mitungi miwili kwa jiko moja, mmoja ukiisha unaweka mwingine wakati unajipanga kuujaza ulioisha kabla hujaumbuka. Mimi niliishiwa gesi wakati chakula cha wageni kinapikwa...