Gesti unatumiaga jina gani?

Gesti unatumiaga jina gani?

Umeongea kuhusu wakerewe umenikimbusha zamani nilikuwa natumia jina la kijita nilikuwa naandika " Mzee Mjungu" halafu lilikuwa jina la mwenye gesti mpaka siku moja akaniita akaniambia kijana wangu acha hizo bana ipo siku mke wangu atakuja kukagua majina hapa halafu atajua ni mimi.


R.i.p Mzee Mjungu
Makombora Mukuyenge

Kutoka Ukerewe Kuelekea Moshi

Hapa nakuwa Swazilandi Uswahilini huko Chugastan
 
Back
Top Bottom