Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asiyejulikana.Tukienda gesti kibongo kwa ajili ya kupiga mambo yetu yale wengi wetu hatutumiagi majina yetu ya ukweli. Mimi naandikaga Emmanuel John, wewe je?
Funguka hapa chini[emoji116]
Unatumia jina la mchawi😂Likud
Inaonyesha leo upo gesti mkuuTukienda gesti kibongo bongo kwa ajili ya kupiga mambo yetu yale wengi wetu hatutumiagi majina yetu ya ukweli. Mimi naandikaga Emmanuel John, wewe je?
Funguka hapa chini👇
Kwamba nikibadili jina ila nimemlala mtu ile jina nililoandika ndio linaenda na hayo maaganoWalokole watakwambia una jiingiza katika maagano ya kipepo
Makombora Mukuyenge
Kutoka Ukerewe Kuelekea Moshi
Hapa nakuwa Swazilandi Uswahilini huko Chugastan
Hao wehuNdivyo wanavyo semaga
Roho yako ndio inabeba maagano ya huyo uliyezini nae, maana mmekuwa mwili mmoja.Kwamba nikibadili jina ila nimemlala mtu ile jina nililoandika ndio linaenda na hayo maagano
Madam ya konyo...bibi wewe😂Yes madam.