Gesti unatumiaga jina gani?

Gesti unatumiaga jina gani?

Bado una bifu na lecture 🤣🤣🤣
Unatumia mpk la ukoo wake?
Yule mhaya yule shenzi sana, UE kwenye bench tulikua tunakaa course tofauti tofauti anaanza labda IT... procure... insurance...edu.... taxation... accountancy....sasa Moja alikua anacheat alivodakwa tukasombwa benchi Zima yy akadisco sisi tukapewa sup
 
Back
Top Bottom