Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unataka kutumia jina la Chongolo sasaNitatafuta na kalamu spesho yenye wino wa kijani 😂
🤣🤣🤣🤣 na wewe ulizidi!!Yule mhaya yule shenzi sana, UE kwenye bench tulikua tunakaa course tofauti tofauti anaanza labda IT... procure... insurance...edu.... taxation... accountancy....sasa Moja alikua anacheat alivodakwa tukasombwa benchi Zima yy akadisco sisi tukapewa sup
Kwani shida nn panganeni mapema! Unatangulia ukifika unaaandika details unataka unazama room upunguze nguo jamaa akukute umebaki na Calvin Klein 😁 ready for giginaizationNingekuwa mwanaume ningetumia jina la kaka Luka 🤣🤣🤣
😂 kikubwa itifaki izingatiweWewe unataka kutumia jina la Chongolo sasa
Takua naandika lako🤣🤣🤣🤣 na wewe ulizidi!!
Acha basi utakuja kumgombanisha na familia yake bhana
🤣🤣🤣 halafu kweli dah!!Hahahahaahha si unawaambia kuwa Mwenye chumba !!.....Huwa hawafuatilii baada ya hapo!
We nawe hujaelewa nilichomaanisha, nimesema kutumia jina!!Kwani shida nn panganeni mapema! Unatangulia ukifika unaaandika details unataka unazama room upunguze nguo jamaa akukute umebaki na Calvin Klein 😁 ready for giginaization
Nikaja Nikamega...Tukienda gesti kibongo bongo kwa ajili ya kupiga mambo yetu yale wengi wetu hatutumiagi majina yetu ya ukweli. Mimi naandikaga Emmanuel John, wewe je?
Funguka hapa chini👇
Mimi kwenye namba ya simu naandika ya lucas mwanshambwa.Lucas mwashambwa najua ni unyama tu apatwe na lolote
Hahahahahah Dada yangu kipenzi, ukiachika usije kwangu kulia ujue! Hahaah🤣🤣🤣 halafu kweli dah!!
Tena anawekaga na namba zake za simu ndio vizuri!! Naandikisha hadi namba zake 😂😂😂
😂😂😂 mfyuuu!!!Takua naandika lako
aaah! Kumbe nimehamisha goli!🤣🤣🤣 halafu kweli dah!!
Tena anawekaga na namba zake za simu ndio vizuri!! Naandikisha hadi namba zake 😂😂😂
Hahahahahaha dah 😂 Ile ya Voda?Mimi kwenye namba ya simu naandika ya lucas mwanshambwa.