Gesti unatumiaga jina gani?

Gesti unatumiaga jina gani?

Yule mhaya yule shenzi sana, UE kwenye bench tulikua tunakaa course tofauti tofauti anaanza labda IT... procure... insurance...edu.... taxation... accountancy....sasa Moja alikua anacheat alivodakwa tukasombwa benchi Zima yy akadisco sisi tukapewa sup
🤣🤣🤣🤣 na wewe ulizidi!!
Acha basi utakuja kumgombanisha na familia yake bhana
 
Kwani shida nn panganeni mapema! Unatangulia ukifika unaaandika details unataka unazama room upunguze nguo jamaa akukute umebaki na Calvin Klein 😁 ready for giginaization
We nawe hujaelewa nilichomaanisha, nimesema kutumia jina!!
Wewe hiyo ya kupangana na kukutana umeyatoa wapi?!
 
Back
Top Bottom