Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Baba hujastaafu?🤣Naandika jina la Ke😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba hujastaafu?🤣Naandika jina la Ke😅
Mkuu unitafute plzHahahahahahahahaaha
Tukienda gesti kibongo bongo kwa ajili ya kupiga mambo yetu yale wengi wetu hatutumiagi majina yetu ya ukweli. Mimi naandikaga Emmanuel John, wewe je?
Funguka hapa chini👇
Nimebakisha miaka michache nitundike viatu mkuu😅Baba hujastaafu?🤣
😂😂😂 Limeisha
Unawafunza nini wanao na wakwe🤣🤣🤣Nimebakisha miaka michache nitundike viatu mkuu😅
Frank MwambaTukienda gesti kibongo bongo kwa ajili ya kupiga mambo yetu yale wengi wetu hatutumiagi majina yetu ya ukweli. Mimi naandikaga Emmanuel John, wewe je?
Funguka hapa chini👇
Saa Moja nitakua kwenye utulivu, nitakutafuta KakaMkuu unitafute plz
Utani huu na rafiki yangu hata sehemu ya serious hua anaandika jina langu jinga kabisaMimi kuna rafiki yangu hua natumia jina lake kama yeye anavotumia langu..
Ni utani wetu tangu tukiwa vijana wadogo so tumeshindwa kuacha
Natumia hilo hilo🤣🤣🤣Tukienda gesti kibongo bongo kwa ajili ya kupiga mambo yetu yale wengi wetu hatutumiagi majina yetu ya ukweli. Mimi naandikaga Emmanuel John, wewe je?
Funguka hapa chini👇
Naomba iwe late kidogo, muda huo sitakuwa na utulivu babaSaa Moja nitakua kwenye utulivu, nitakutafuta Kaka
HAKUNA shida Mkuu wangu, nitajitahidi niwe ON Hadi saa nne,Naomba iwe late kidogo, muda huo sitakuwa na utulivu baba
Wajue tu baba bado anazo nguvu😅😅Unawafunza nini wanao na wakwe🤣🤣🤣
Nina baba mkw hatari😂😂Wajue tu baba bado anazo nguvu😅😅
OkHAKUNA shida Mkuu wangu, nitajitahidi niwe ON Hadi saa nne,
Niko na mama mkwe wako hapa, hata hanitoshi😅😅Nina baba mkw hatari😂😂
Ila una ki f aa ba baNiko na mama mkwe wako hapa, hata hanitoshi😅😅