ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Kifaa sio mkuu? Hongera sana!Ila una ki f aa ba ba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifaa sio mkuu? Hongera sana!Ila una ki f aa ba ba
Dr. MariposaTukienda gesti kibongo bongo kwa ajili ya kupiga mambo yetu yale wengi wetu hatutumiagi majina yetu ya ukweli. Mimi naandikaga Emmanuel John, wewe je?
Funguka hapa chini👇
Nisingeona comment ya namna hii ningeshangaa sana 😅Sijawahi kuandika Jina mimi. kwa wale mnaoniombea mabaya eti kuna siku nitafia gesti Mshindwe.
Ukorofi hujaanza leo kumbe [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umeongea kuhusu wakerewe umenikimbusha zamani nilikuwa natumia jina la kijita nilikuwa naandika " Mzee Mjungu" halafu lilikuwa jina la mwenye gesti mpaka siku moja akaniita akaniambia kijana wangu acha hizo bana ipo siku mke wangu atakuja kukagua majina hapa halafu atajua ni mimi.
R.i.p Mzee Mjungu
Kutumia jina ambalo si lako ni mbaya sana.Kabla haujaingia vyumbani uwe unaniita nakubatiza ubatizo wa maji "mafupi" ili likitokea la kutokea tukuzike kama "Emmanuel John"!Tukienda gesti kibongo bongo kwa ajili ya kupiga mambo yetu yale wengi wetu hatutumiagi majina yetu ya ukweli. Mimi naandikaga Emmanuel John, wewe je?
Funguka hapa chini👇
Huwa unaenda na nywele zako za kibantu au unavaa wigi?Natumia jina langu Suchack
Nimesoma na mtu anaitwa John JamesMe huwa naandika linalokuja kichwani bakari rajabu, John james
We acha usinambie....Nimesoma na mtu anaitwa John James
Una dhambi wewe, kamtafute fb utamuona mwenye jina lakeWe acha usinambie....
Mimi huwa naandika linalokuja kichwani tu 😅😅😅😂😂
Ngoja nikamtafuteUna dhambi wewe, kamtafute fb utamuona mwenye jina lake
Wewe mambooNgoja nikamtafute