mtaalamuna84
Member
- Nov 22, 2016
- 66
- 53
Mkuu kiukwel kwa dunia ya leo pesa ndo kila kitumimi kila nikizidi kukua nazidi kuona kua pesa sio kitu cha thamani kama tunavyoaminishwa na hauhitaji pesa ili uwe na furaha,kila nikizidi kukua nazidi kuelewa na kujiondoa na attachment mbali mbali,sitaki katika dunia hii niwe attached na pesa au mali yoyote ilee..pesa ntazitafuta kwa juhudi zote lakini nikizipata au nikizikosa sitokosa furaha..