mtaalamuna84
Member
- Nov 22, 2016
- 66
- 53
Sasa nmepata kuelewa kwa nn 50 cent alisema get rich or die trying
Tangu nmekua nmeona visa vingi vya kufanya niione nafasi ya mwenye pesa na asiekua na pesa katika jamii
Mtu yoyote akisema tajiri na masikini ni sawa basi hakika nitakaa nae mbali sana
Tusikate tamaa wakuu hakuna aijuae kesho
Tangu nmekua nmeona visa vingi vya kufanya niione nafasi ya mwenye pesa na asiekua na pesa katika jamii
Mtu yoyote akisema tajiri na masikini ni sawa basi hakika nitakaa nae mbali sana
Tusikate tamaa wakuu hakuna aijuae kesho