Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

...kwasababu kidizaini ananishtua kwenye pitch kuwa kuna man on - man on, ili nipige cross kwenda kwake naye atingishe neti.


Hii luga uliyotumia hapa sijakuelewa kbs bora hata my best friend naweza tumia dictionary.
 
...kwasababu kidizaini ananishtua kwenye pitch kuwa kuna man on - man on, ili nipige cross kwenda kwake naye atingishe neti.

Kwa hiyo unamtafuta invizibo ili awe refarii au aku back up? Au unamtafutia mtu gereza? I am thinking loudly.
 
najua niko nje ya mstari....jamani iptl imewashwa ama ilikuwa politik language ya mkulu?


mkuu unatuharibia sisi hatuhusiki na siasa tafadhali rudi kundini we ar too young to die.
 
Najua niko nje ya mstari....jamani IPTL imewashwa ama ilikuwa politik language ya mkulu?

Kwani hujui uchaguzi unakaribia? Bado haijawashwa mgao kama kawa.
Na naambiwa Mtera maji yamejaa sijui jamaa wanatafuta ulaji wa uchaguzi.
 
Kwani hujui uchaguzi unakaribia? Bado haijawashwa mgao kama kawa.
Na naambiwa Mtera maji yamejaa sijui jamaa wanatafuta ulaji wa uchaguzi.

mNAHARIBU JAMANI WAPI HUKU MNAAENDA?
 
Kwa hiyo unamtafuta invizibo ili awe refarii au aku back up? Au unamtafutia mtu gereza? I am thinking loudly.

muulize!
i personally don't trust LEGENDS!huyu mtu mimi hapana
 
Viwanda vya beer vitafungwa ndo wasi wasi si unajua siasa inakula kona kila sehemu?

Hahaha! Viwanda vya bia ni Full Umeme! Haviitegemei TANESCO. Labda viwanda vya banta!
 
naenda lunch niwapishe mdiscuss siasa nikirudi tunaendelea na get together yetu.
 
Back
Top Bottom