carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 265
Si unajua tena binam na mpwa ni mule mule!Mpwa unataka kumuimbia shairi binamu? Kaaaazi kwelikweli.
Btw, ushamu - update Kaizer kwamba leo tulitembelew na ugeni rasmi kutoka jukwaa la siasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si unajua tena binam na mpwa ni mule mule!Mpwa unataka kumuimbia shairi binamu? Kaaaazi kwelikweli.
Hahahahaha taratibu mpwa Nyamayao kaweka wazi yupo single maanake Kaizer hajafika dau.
Si unajua tena binam na mpwa ni mule mule!
Btw, ushamu - update Kaizer kwamba leo tulitembelew na ugeni rasmi kutoka jukwaa la siasa?
Hahahah kaka umeniangusha .........fimbo tu? (nyamayao leo atanila nyama- potelea pote bana nalinda mali za kaka yangu-atasema wifi mwenye gubu lol)
Jamani kuna mtu amenionea kaizer? namtafuta nina shida naye!
Ngoja nimpigie nimwambieje aje hapa jamvini au?
mhhh.... ndio kusema?
Yuko shift anabeba mabox saa hizi.
Okay..shift ya boksi imeisha sasa tuanze upya!
Mrs vipi tena mbona wanakuyumbisha wakati najua huyumbi yumbi!😀
Afu ukiwa na dada anayejali kama MJ1 safi sana,
Mkuu Fidel ujumbe umefika nimekusoma over!😀😀
mwaaah mwaaaahh mwaaaa mr wangu....luv u sooo much.
🙄🙄🙄Okay..shift ya boksi imeisha sasa tuanze upya!
Mrs vipi tena mbona wanakuyumbisha wakati najua huyumbi yumbi!😀
Afu ukiwa na dada anayejali kama MJ1 safi sana
Mkuu Fidel ujumbe umefika nimekusoma over!😀😀
Si unajua tena binam na mpwa ni mule mule!
Btw, ushamu - update Kaizer kwamba leo tulitembelew na ugeni rasmi kutoka jukwaa la siasa?
mwaaah mwaaaahh mwaaaa mr wangu....luv u sooo much.
HAhahahaha samahani bro nilipitiwa na usingizi.
eti mmesema sir invisible yuko serious no smile yeye na kilaji??
alijitambulisha lakini?? mlimjua vip kama ndo yeye
Invisible kwa nini uankandamiza sana ulabu ????
nani kaondoka hapo anapepesuka??????????????
Xpin camera yangu ilikuwa available mitaa hiyo nasubiri muongeeee sana nianze kurusha matukio moja baada ya jingine
FL1 huogopi bani wewe? shaurilo!
Xpin camera yangu ilikuwa available mitaa hiyo nasubiri muongeeee sana nianze kurusha matukio moja baada ya jingine
kwa wale ambao hamkufika naomaba nitume picha za MATUKIO naona thread imeuza kama wimbo wa THRILLER
Je mna mniruhusu?