Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

Mpwa unataka kumuimbia shairi binamu? Kaaaazi kwelikweli.
Si unajua tena binam na mpwa ni mule mule!
Btw, ushamu - update Kaizer kwamba leo tulitembelew na ugeni rasmi kutoka jukwaa la siasa?
 
Hahahahaha taratibu mpwa Nyamayao kaweka wazi yupo single maanake Kaizer hajafika dau.

Dah, dogo unaharibu ivo ujue😀 Nyamayao usipomwelewa utakuwa unaona nyeupe useme ni nyeusi!hahah
 
Si unajua tena binam na mpwa ni mule mule!
Btw, ushamu - update Kaizer kwamba leo tulitembelew na ugeni rasmi kutoka jukwaa la siasa?

Naona anaperuzi kwanza za mrs wake. Atakumbana naye tu katika harakati za kuperuzi umbea wa mrs wake.
 
Hahahah kaka umeniangusha .........fimbo tu? (nyamayao leo atanila nyama- potelea pote bana nalinda mali za kaka yangu-atasema wifi mwenye gubu lol)


ckutegemea ungenitakia mabaya kiac hicho...wewe ndio yule yule wifi nakujulisha tu kuwa nakuvutia kac....lol
 
Jamani kuna mtu amenionea kaizer? namtafuta nina shida naye!

Ngoja nimpigie nimwambieje aje hapa jamvini au?

mhhh.... ndio kusema?

Yuko shift anabeba mabox saa hizi.


Okay..shift ya boksi imeisha sasa tuanze upya!

Mrs vipi tena mbona wanakuyumbisha wakati najua huyumbi yumbi!😀

Afu ukiwa na dada anayejali kama MJ1 safi sana,

Mkuu Fidel ujumbe umefika nimekusoma over!😀😀
 
Okay..shift ya boksi imeisha sasa tuanze upya!

Mrs vipi tena mbona wanakuyumbisha wakati najua huyumbi yumbi!
😀

Afu ukiwa na dada anayejali kama MJ1 safi sana,

Mkuu Fidel ujumbe umefika nimekusoma over!😀😀


mwaaah mwaaaahh mwaaaa mr wangu....luv u sooo much.
 
Okay..shift ya boksi imeisha sasa tuanze upya!

Mrs vipi tena mbona wanakuyumbisha wakati najua huyumbi yumbi!😀

Afu ukiwa na dada anayejali kama MJ1 safi sana

Mkuu Fidel ujumbe umefika nimekusoma over!😀😀
🙄🙄🙄
 
Si unajua tena binam na mpwa ni mule mule!
Btw, ushamu - update Kaizer kwamba leo tulitembelew na ugeni rasmi kutoka jukwaa la siasa?


Asante Carmel ugeni nimeuona, na nimetake NOTE of that....sio vibaya kupata wageni wa aina hii mara moja moja..

Hongereni sana kwa jana!
 
kwa wale ambao hamkufika naomaba nitume picha za MATUKIO naona thread imeuza kama wimbo wa THRILLER

Je mna mniruhusu?
 
mwaaah mwaaaahh mwaaaa mr wangu....luv u sooo much.


Jamani kumekucha....nadhani mmeona jinsi MV mapenzi isivopigwa na mawimbi kirahisi.

Mkuu Nguli, umeattempt lakini naona itabidi ujaribu sehemu nyingine.huu ulinzi hapa ni zaidi ya wa ma spesho ajenti! LOL

Next?.....
 
eti mmesema sir invisible yuko serious no smile yeye na kilaji??
alijitambulisha lakini?? mlimjua vip kama ndo yeye
Invisible kwa nini uankandamiza sana ulabu ????

nani kaondoka hapo anapepesuka??????????????

Xpin camera yangu ilikuwa available mitaa hiyo nasubiri muongeeee sana nianze kurusha matukio moja baada ya jingine
 
HAhahahaha samahani bro nilipitiwa na usingizi.

Safi sana Dogo..nimeshabonyezza kale kakitufe...sasa jirani si unajua tena mambo yetu ya Kimara...next tyme nitaanzia kwenye reconnaisance ya venue kabisa...of course itahitahi approval ya mkulu Xpin na Nguli..... (nasikia na ZD itabidi awepo by default)
 
eti mmesema sir invisible yuko serious no smile yeye na kilaji??
alijitambulisha lakini?? mlimjua vip kama ndo yeye
Invisible kwa nini uankandamiza sana ulabu ????

nani kaondoka hapo anapepesuka??????????????

Xpin camera yangu ilikuwa available mitaa hiyo nasubiri muongeeee sana nianze kurusha matukio moja baada ya jingine

FL1 huogopi bani wewe? shaurilo!
 
Xpin camera yangu ilikuwa available mitaa hiyo nasubiri muongeeee sana nianze kurusha matukio moja baada ya jingine

Mi nachokumbuka ni pale mkuu nguli alipoingia kwenye daladala kupitia dirishani. Mengine hata sikumbuki, banta ilinilewesha sana.
 
mlijitambulisha kwa majina yenu haswa ama ilikuwa ni mambo ya JF....kila mtu na 'name tag' no questions asked?
naona tutaanza kufanya regional get tugedhas ndio sote tufaidi...ningependa kumuona Burn, Kaizer, YoYo, Xspin, nguli na wengineo...
 
kwa wale ambao hamkufika naomaba nitume picha za MATUKIO naona thread imeuza kama wimbo wa THRILLER

Je mna mniruhusu?

Zimwage mkuu. Lakini ile wakati tunapigana busu na mchumba usiziweke tafadhali. Pombe zilinizidia.
 
Back
Top Bottom