Kwa kweli na this tym hiyo wide load itabidi ifanyiwe utaratibu wa ku accomodate two vehicles au vipi mpwa?
Wakuu next time tutafute sehemu yenye minyama nyama maana bia, Fanta , Maji bila nyama hazishuki.
mimi nilichoka na BUNDUKI ZA CARMEL!duh!mungu alifanya kazi ya ziada kwa huyu binti mazee!😀
Na lile red flower alilonitwanga mchumbangu ulilionaje? Ila Bwashee dada yangu ulimchagua bana! Hahaha! Mwenyewe mpaka nilikuonea wivu mlivokuwa pale high table.
hahahaha!bwashee mimi nilizikubali rasta za mkeo!
..........na dreds za Yo Yo.
Wakuu next time tutafute sehemu yenye minyama nyama maana bia, Fanta , Maji bila nyama hazishuki.
Msione kama nakuwa mzito kuchangia yaliyojiri ndovu zinaniumiza kichwa. Hang'i ova
Hamna ruhusa kuhudhuria saluni za wakongo au wamasai. Shughuli yote naifanya mwenyewe!
Msione kama nakuwa mzito kuchangia yaliyojiri ndovu zinaniumiza kichwa. Hang'i ova
huku hata mimi nilitoa ANGALIZO KUU kwa dada yako!
bai dhe wei bwashee jana ulitaka kunikili??!!!😀
hangover ya siku mbili??
aaaah kumbe nyie mkaenda wapi tena aliyechagua kiwanja namna gani ????
hangover ya siku mbili??
Hongereni sana it seems get together yenu ilikua bomba sana.