Hahaha! Tulitaka kuingia hewani, binamu akatutahadharisha kuwa hubby wako ni mkurya. Ila salamu zako tulizipata. Thanks!
Duh aksante sijui Carmel na ZD waliingiaje kiwanja. Nimeipenda hiyo nahisi mie ningechemka maana ningeita tu Fidel mzee wa kujiexpress kwa nguvu (Sijui ningeweza na hizi aibu za kike!?)
kumbe kuna mtu anakandamiza nyuki ni wewe ZD ???Hahahaha MJ1 na Nyamayao pamoja na F1 mlikosa uhondozi next time tunatafuta sehemu kwenye minyama nyama maana wengine tunapenda sana nyama kwa bia na Fanta ndo zenyewe.
ha haha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa point noted, lkn hata ZD kaka yako ashawahi so hata kama ungekuwa hujaoa isingesaidia.natamani vikao hivi vingenikuta wakati sijaoa!😀
yani xpin na ujanja woote anakandamiza nyuki, huwezi amini.kumbe kuna mtu anakandamiza nyuki ni wewe ZD ???
yani xpin na ujanja woote anakandamiza nyuki, huwezi amini.
MJ1 huyu jamaa utamuweza na t..o? dont try it at homeHahahahahaha walio tangulia wangekwambia njoo hukuuuuuuuuu maana nilichelewa kidogo mimi ukilivua pendo lako nalisubilia tu sijakata tamaa.
MJ1 huyu jamaa utamuweza na t..o? dont try it at home
yani xpin na ujanja woote anakandamiza nyuki, huwezi amini.
habari ndio hiyo nyamayao. anaendoka serengeti pale ni ZD, na Nguli konyagi, mimi bingwa, Geof alikosa vita malta ikabidi apate bavaria, yoyo na fidel ndovu.eeehh.......
yani xpin na ujanja woote anakandamiza nyuki, huwezi amini.
habari ndio hiyo nyamayao. anaendoka serengeti pale ni ZD, na Nguli konyagi, mimi bingwa, Geof alikosa vita malta ikabidi apate bavaria, yoyo na fidel ndovu.
Pale nilipojisahau nikachanganya na whysky ya YoYo kidogo nizimike. Hahaha! Fanta bana! Niko na ua la mchumbangu hapa ofisini naliangalia. Burudani ya aina yake.[/QUOTE]
hapo tu ndo ulipopiga bao la kisigino, if you know what i mean.
Yeah! i knoo wora yu miin! Watu walikuwa wanadhani masihara, hata we mwenyewe hukuamini, au unabisha?
kwa kweli sikuamini kabisaaaaaaaaaYeah! i knoo wora yu miin! Watu walikuwa wanadhani masihara, hata we mwenyewe hukuamini, au unabisha?