Get Well Soon Dena Amsi...

QUOTE=Bishanga;3066812]Halafu sadaka za xmass na mwaka mpya kakusanya na kutokomea hatujui aliko.[/QUOTE]
nasikia Husn kamfungulia TF RB oysterbay police,kisa kamkopa sasa sijui kamkopa nini?ukimwona mwambie 'wanted'![/QUOTE]
Yupo mtaani anadunda na nguo mpya, na gari jipya. Sijui ndo kanunulia sadaka za waumini wake
Ngoja nitamwambia lakini
y
 
Pole Antiii ! Tungekuja kukuletea japo vijichungwa! But hatujui pa kuanzia njia ya kufikia hosp been admited.
 
Pole sana mpendwa....usijal mungu atakusimamia utapona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…