Get Well Soon Dena Amsi...

Pole D.A.
Mungu akurudishie afya na uzima tele.Pole sana kwa kula xmas kwa style hii.
Vipi kama kuna nguo chafu na vyombo usihangaike nakuja kufua na kukuoshea vyombo hivyo.Nipo kwa ajii yako.
 
Pole D.A.
Mungu akurudishie afya na uzima tele.Pole sana kwa kula xmas kwa style hii.
Vipi kama kuna nguo chafu na vyombo usihangaike nakuja kufua na kukuoshea vyombo hivyo.Nipo kwa ajii yako.

Umejuaje na nguo chafu zimejaa tenga? Thanx in advance nakusubiri
 
Wengine mkiumwa huwa mnakuwa wabishi kwenye KULA- BONA PETIT!!
 
Huu mwaka wa shetani huu!Pole MAMA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…