Speaker JF-Expert Member Joined Aug 12, 2010 Posts 6,324 Reaction score 2,240 Jun 13, 2012 #21 Nashukuruni sana nyote kwa salamu zenu. Kupata watu 18 kukwambia "pole" sio jambo dogo. Asanteni sana,kazi kama zinaanza sasa kwa kasi ya ajabu.
Nashukuruni sana nyote kwa salamu zenu. Kupata watu 18 kukwambia "pole" sio jambo dogo. Asanteni sana,kazi kama zinaanza sasa kwa kasi ya ajabu.