Getamycine aja na kali (mrithi mwandamizi wa upumbavu Tanzania)

Getamycine aja na kali (mrithi mwandamizi wa upumbavu Tanzania)

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Gwiji la makeke hapa jamiiforums limekuja na msemo mpya unaosema MRITHI MWANDAMIZI WA UPUMBAVU TANZANIA)

Hebu fikiria Mambo ambayo ukiyafanya unakuwa MRITHI MWANDAMIZI WA UPUMBAVU TANZANIA

Mfano

Serikali inapiga kelele kuhusu korona wewe hujali as if HAKUNA kitu ukiwa hivyo ujue wewe ni mmwawauta aisee huu msemo nimeupenda Sana !

Gentamycine aka POPOMA amekuja kwa mbwembwe Sana!
 
Kwani huyo GENTAMYCINE na POPOMA ni ndugu au ni mtu mmoja? Mbona sielewi

Kuna Watu hapa wanapenda sana ama waambiwe ni Mimi au wafananishwe na Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ila wamesahau tu ya kwamba kuwa " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " ni Tunu / Shani yake pekee Mwenyezi Mungu. Na pia usisahau kuwa kuna Watu hapa Jamvini JamiiForums ID's zao haziwezi Kujulikana haraka au kuwa Maarufu kama hawagombani nami au hawanichokozi. Wasinilaumu Mimi kuwa hivi bali wajilaumu Wao kwanini Mola / Maulana hakuwaumba na Zawadi zake nyingi alizonipa.

Cc: superbug
 
Sawa Genta tumekusoma

Sent using Jamii Forums mobile app

Na huku Kunifananisha nae huyu Mpumbavu Mleta Mada hii ya Kipuuzi ambayo nashangaa bado ipo ndiko alikuwa akitaka. Anapenda mno Kufananishwa au Kuambiwa kuwa ID yake hii ni yangu Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE. Nawaombeni Mumpuuze na sina Uhusiano wowote ule na hiyo ID na atakayeamini utakuwa ni ' Upopoma ' wake pekee.

Cc: superbug
 
Gwiji la makeke hapa jamiiforums limekuja na msemo mpya unaosema MRITHI MWANDAMIZI WA UPUMBAVU TANZANIA)

Hebu fikiria Mambo ambayo ukiyafanya unakuwa MRITHI MWANDAMIZI WA UPUMBAVU TANZANIA

Mfano

Serikali inapiga kelele kuhusu korona wewe hujali as if HAKUNA kitu ukiwa hivyo ujue wewe ni mmwawauta aisee huu msemo nimeupenda Sana !

Gentamycine aka POPOMA amekuja kwa mbwembwe Sana!

Punguza Kujipendekeza na Kujikomba sana Kwangu Mkuu kwani Unaboa na inaonekana ungekuwa unajua Maghetoni Kwangu kila mara 24/7 ungekuwa unaniletea tu ' Nyabenga ' lako ili niwe natambaa nalo Kibaioloji Kibaioloji tu. Na kuna uwezekano hata Usiku uwa unaniota sana huku nawe ukitamani kweli kweli uitwe GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE na uwe " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " ila kwa bahati mbaya sana imekuwa ni Kinyume chake na umebakia tu na huo Upumbavu ( Upopoma ) wako.
 
Na huku Kunifananisha nae huyu Mpumbavu Mleta Mada hii ya Kipuuzi ambayo nashangaa bado ipo ndiko alikuwa akitaka. Anapenda mno Kufananishwa au Kuambiwa kuwa ID yake hii ni yangu Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE. Nawaombeni Mumpuuze na sina Uhusiano wowote ule na hiyo ID na atakayeamini utakuwa ni ' Upopoma ' wake pekee.

Cc: superbug
Unatumia nguvu nyingi
 
Kuna Watu hapa wanapenda sana ama waambiwe ni Mimi au wafananishwe na Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ila wamesahau tu ya kwamba kuwa " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " ni Tunu / Shani yake pekee Mwenyezi Mungu. Na pia usisahau kuwa kuna Watu hapa Jamvini JamiiForums ID's zao haziwezi Kujulikana haraka au kuwa Maarufu kama hawagombani nami au hawanichokozi. Wasinilaumu Mimi kuwa hivi bali wajilaumu Wao kwanini Mola / Maulana hakuwaumba na Zawadi zake nyingi alizonipa.

Cc: superbug
Kwa hiyo anataka kiki kwa pikipiki..
 
Punguza Kujipendekeza na Kujikomba sana Kwangu Mkuu kwani Unaboa na inaonekana ungekuwa unajua Maghetoni Kwangu kila mara 24/7 ungekuwa unaniletea tu ' Nyabenga ' lako ili niwe natambaa nalo Kibaioloji Kibaioloji tu. Na kuna uwezekano hata Usiku uwa unaniota sana huku nawe ukitamani kweli kweli uitwe GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE na uwe " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " ila kwa bahati mbaya sana imekuwa ni Kinyume chake na umebakia tu na huo Upumbavu ( Upopoma ) wako.
The moon is about to go out so let us feel sorry to this lunatic he married a single mom on January 2020
Punguza Kujipendekeza na Kujikomba sana Kwangu Mkuu kwani Unaboa na inaonekana ungekuwa unajua Maghetoni Kwangu kila mara 24/7 ungekuwa unaniletea tu ' Nyabenga ' lako ili niwe natambaa nalo Kibaioloji Kibaioloji tu. Na kuna uwezekano hata Usiku uwa unaniota sana huku nawe ukitamani kweli kweli uitwe GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE na uwe " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " ila kwa bahati mbaya sana imekuwa ni Kinyume chake na umebakia tu na huo Upumbavu ( Upopoma ) wako.
 
Mbona kama una mtreat hrsh sana jamaaa kisa ni hiki hiki au kuna kingine[emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app

Anapenda kuwa " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " kama Mimi GENTAMYCINE ila kwa bahati mbaya Mwenyezi Mungu amemkatalia na sasa ameunganisha Nguvu zake za Shetani Mkuu Lucifer ili anishambulie na anivunje Moyo lakini hapo hapo kasahau ya kwamba Siku zote ukimpiga Teke Chura hapo unakuwa unamuongezea tu Mwendo.

Cc: superbug
 
Kuna Watu hapa wanapenda sana ama waambiwe ni Mimi au wafananishwe na Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ila wamesahau tu ya kwamba kuwa " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " ni Tunu / Shani yake pekee Mwenyezi Mungu. Na pia usisahau kuwa kuna Watu hapa Jamvini JamiiForums ID's zao haziwezi Kujulikana haraka au kuwa Maarufu kama hawagombani nami au hawanichokozi. Wasinilaumu Mimi kuwa hivi bali wajilaumu Wao kwanini Mola / Maulana hakuwaumba na Zawadi zake nyingi alizonipa.

Cc: superbug
Nakujua kama ' GERIATRIC AUTHENTIC NINCOMPOOP ' na si vingine.
jembekilo kakuuliza swali
 
Back
Top Bottom