Getamycine aja na kali (mrithi mwandamizi wa upumbavu Tanzania)

Getamycine aja na kali (mrithi mwandamizi wa upumbavu Tanzania)

Kuna Watu hapa wanapenda sana ama waambiwe ni Mimi au wafananishwe na Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ila wamesahau tu ya kwamba kuwa " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " ni Tunu / Shani yake pekee Mwenyezi Mungu. Na pia usisahau kuwa kuna Watu hapa Jamvini JamiiForums ID's zao haziwezi Kujulikana haraka au kuwa Maarufu kama hawagombani nami au hawanichokozi. Wasinilaumu Mimi kuwa hivi bali wajilaumu Wao kwanini Mola / Maulana hakuwaumba na Zawadi zake nyingi alizonipa.

Cc: superbug
Mpwa

Muda mrefu sana [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKUU NAHISI KUNA UGOMVI MKUBWA KATI YA HAWA JAMAA NA WANAJUANA VEMA KABISA.ASA CHA AJABU WANAJUANA VIPI WAKATI NI ID FEKI HIZI??? 😀
AU NI MTU MMOJA? 🤔
majamaa wameibiana mke nini??
 
MKUU NAHISI KUNA UGOMVI MKUBWA KATI YA HAWA JAMAA NA WANAJUANA VEMA KABISA.ASA CHA AJABU WANAJUANA VIPI WAKATI NI ID FEKI HIZI??? 😀
AU NI MTU MMOJA? 🤔

Acha Kashfa Mkuu hivi Lionel Messi ( GENTAMYCINE ) anaweza Kufafanishwa na Ditram Nchimbi ( superbug ) huyu? Niombe Radhi upesi kwani ni kama vile Umenidhalilisha Kunifananisha na huyo ' Mrithi Mwandamizi wa Upumbavu ' Tanzania nzima.
 
MKUU NAHISI KUNA UGOMVI MKUBWA KATI YA HAWA JAMAA NA WANAJUANA VEMA KABISA.ASA CHA AJABU WANAJUANA VIPI WAKATI NI ID FEKI HIZI??? 😀
AU NI MTU MMOJA? 🤔
kuna mtu katafuniwa vyake hapo
MKUU NAHISI KUNA UGOMVI MKUBWA KATI YA HAWA JAMAA NA WANAJUANA VEMA KABISA.ASA CHA AJABU WANAJUANA VIPI WAKATI NI ID FEKI HIZI??? 😀
AU NI MTU MMOJA? 🤔
mkuu embu jaribu kuwapatanisha aisee! kwa nafasi yako, ugomvi sio mzurii 😄😄
 
Hua naona Smart na Mahondaw mmoja wao akipost chochote ana mkopi mwenzie je gentamycine na super bug na nyie mko kwenye mahusiano ya kimapenzi?
 
Hua naona Smart na Mahondaw mmoja wao akipost chochote ana mkopi mwenzie je gentamycine na super bug na nyie mko kwenye mahusiano ya kimapenzi?
Mimi ninamidevu janaume lizalishalo Sasa cjui gentamycine ni jinsia gani ila nadhani ni ile jinsia isiyoshambuliwa Sana na covid 19

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Genta multiple ID mpenza misifa

Sent using Jamii Forums mobile app

Ziweke hadharani hizo ' Multiple ID's ' zangu tafadhali. Unasema napenda Sifa je, unaweza Kunikumbusha ni Siku gani labda au ipi nilikuomba Unisifie kwa lolote hapa Jamvini? Hivi Mtu akishakuwa ni " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " huwa anahitaji tena kuwa Mpenda Sifa? Halafu Kupitia ' Mpumbavu Mwandamizi ' Mwenzao Wewe naomba Kukuuliza kwa Niaba ya hao Wenzako hivi kila Siku ' Mnahubiri ' Kunichukia na Kunishambulia kwa kila namna hapa Jamvini JamiiForums je, nimepungukiwa na chochote au lolote labda? Mmeshaona nikisumbuka nanyi kama ninyi mnavyosumbuka na kukosa Usingizi na Amani nami? Hivi Mtu unayemchukia na usiyempenda unaweza kila Uchao ( 24/7 ) ukiingia ( Log In ) hapa Jamvini ni lazima tu uchungulie ama umfuatilie Kaandika au Kachangia nini? Kwahiyo Kitufe cha ' Ignore ' Kwenu nyie hakijaeleweka kina maana au Kazi gani? Yaani ninawadharau kweli kweli na huku Kunichukia, Kunishambulia na kupenda ' Kushoboka ' Kwenu nami ndiyo Kwanza Kunanipaisha tu na Kuniongezea Umaarufu usio wa Gharama hapa. Na hapo bado mtateseka mno nami hadi Mchukie, Mnune na muamue ' Kubugia ' kabisa Sumu ya Panya mfe kabisa. Wapuuzi Wakubwa nyie.

Cc: superbug
 
Hua naona Smart na Mahondaw mmoja wao akipost chochote ana mkopi mwenzie je gentamycine na super bug na nyie mko kwenye mahusiano ya kimapenzi?

Brainiac ( Dume ) GENTAMYCINE anaweza akawa na Uhusiano wa Kimapenzi na Moron ( Jike ) superbug? Umeuliza Swali la ' Kipopoma / Kipumbavu ' sana Mkuu.
 
Brainiac ( Dume ) GENTAMYCINE anaweza akawa na Uhusiano wa Kimapenzi na Moron ( Jike ) superbug? Umeuliza Swali la ' Kipopoma / Kipumbavu ' sana Mkuu.
Dan nyie mnanichanganya mnavokandiana ni kama mliwahi kuwa kwenye mahusiano yakavunjika kwa ugomvi. Mmoja atakauwa ex wa mwenzie so nilitaka kujua nani ni ex boyfriend na yupi ni ex gf..
 
Dan nyie mnanichanganya mnavokandiana ni kama mliwahi kuwa kwenye mahusiano yakavunjika kwa ugomvi. Mmoja atakauwa ex wa mwenzie so nilitaka kujua nani ni ex boyfriend na yupi ni ex gf..

Unataka ujibiwe mara ngapi?
 
Back
Top Bottom