Kwani huyo GENTAMYCINE na POPOMA ni ndugu au ni mtu mmoja? Mbona sielewi
Gwiji la makeke hapa jamiiforums limekuja na msemo mpya unaosema MRITHI MWANDAMIZI WA UPUMBAVU TANZANIA)
Hebu fikiria Mambo ambayo ukiyafanya unakuwa MRITHI MWANDAMIZI WA UPUMBAVU TANZANIA
Mfano
Serikali inapiga kelele kuhusu korona wewe hujali as if HAKUNA kitu ukiwa hivyo ujue wewe ni mmwawauta aisee huu msemo nimeupenda Sana !
Gentamycine aka POPOMA amekuja kwa mbwembwe Sana!
Unatumia nguvu nyingiNa huku Kunifananisha nae huyu Mpumbavu Mleta Mada hii ya Kipuuzi ambayo nashangaa bado ipo ndiko alikuwa akitaka. Anapenda mno Kufananishwa au Kuambiwa kuwa ID yake hii ni yangu Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE. Nawaombeni Mumpuuze na sina Uhusiano wowote ule na hiyo ID na atakayeamini utakuwa ni ' Upopoma ' wake pekee.
Cc: superbug
Kwa hiyo anataka kiki kwa pikipiki..Kuna Watu hapa wanapenda sana ama waambiwe ni Mimi au wafananishwe na Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ila wamesahau tu ya kwamba kuwa " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " ni Tunu / Shani yake pekee Mwenyezi Mungu. Na pia usisahau kuwa kuna Watu hapa Jamvini JamiiForums ID's zao haziwezi Kujulikana haraka au kuwa Maarufu kama hawagombani nami au hawanichokozi. Wasinilaumu Mimi kuwa hivi bali wajilaumu Wao kwanini Mola / Maulana hakuwaumba na Zawadi zake nyingi alizonipa.
Cc: superbug
The moon is about to go out so let us feel sorry to this lunatic he married a single mom on January 2020Punguza Kujipendekeza na Kujikomba sana Kwangu Mkuu kwani Unaboa na inaonekana ungekuwa unajua Maghetoni Kwangu kila mara 24/7 ungekuwa unaniletea tu ' Nyabenga ' lako ili niwe natambaa nalo Kibaioloji Kibaioloji tu. Na kuna uwezekano hata Usiku uwa unaniota sana huku nawe ukitamani kweli kweli uitwe GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE na uwe " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " ila kwa bahati mbaya sana imekuwa ni Kinyume chake na umebakia tu na huo Upumbavu ( Upopoma ) wako.
Punguza Kujipendekeza na Kujikomba sana Kwangu Mkuu kwani Unaboa na inaonekana ungekuwa unajua Maghetoni Kwangu kila mara 24/7 ungekuwa unaniletea tu ' Nyabenga ' lako ili niwe natambaa nalo Kibaioloji Kibaioloji tu. Na kuna uwezekano hata Usiku uwa unaniota sana huku nawe ukitamani kweli kweli uitwe GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE na uwe " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " ila kwa bahati mbaya sana imekuwa ni Kinyume chake na umebakia tu na huo Upumbavu ( Upopoma ) wako.
Ananijua vema sanaMbona kama una mtreat hrsh sana jamaaa kisa ni hiki hiki au kuna kingine[emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kama una mtreat hrsh sana jamaaa kisa ni hiki hiki au kuna kingine[emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ananijua vema sana
majamaa wameibiana mke nini??AISEEE HAPA KUNA KITU NYUMA YA PAZIA, SIO BURE
Kuna Watu hapa wanapenda sana ama waambiwe ni Mimi au wafananishwe na Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ila wamesahau tu ya kwamba kuwa " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " ni Tunu / Shani yake pekee Mwenyezi Mungu. Na pia usisahau kuwa kuna Watu hapa Jamvini JamiiForums ID's zao haziwezi Kujulikana haraka au kuwa Maarufu kama hawagombani nami au hawanichokozi. Wasinilaumu Mimi kuwa hivi bali wajilaumu Wao kwanini Mola / Maulana hakuwaumba na Zawadi zake nyingi alizonipa.
Cc: superbug
jembekilo kakuuliza swaliNakujua kama ' GERIATRIC AUTHENTIC NINCOMPOOP ' na si vingine.