Getrude Mongella: Unapokuwa unaamini usawa wa binadamu ukiacha baadhi ya binadamu nje wewe ni mnafiki

Getrude Mongella: Unapokuwa unaamini usawa wa binadamu ukiacha baadhi ya binadamu nje wewe ni mnafiki

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
RAIS wa Kwanza wa Bunge la Afrika, Balozi Getrude Mongella amesema demokrasia ni ushirikishwaji wa kila mmoja na kwamba huwezi kutofautisha usawa wa binadamu na demokrasia. Amesema “Unapokuwa unaamini usawa wa binadamu ukiacha baadhi ya binadamu nje wewe ni mnafiki.

Huwezi ukasimama hapa ukazungumza demokrasi, ambayo watu wengine ni wakutafuta. Unafika kwenye vikao afadhari hapa tumechanganyika. Kuna vikao unakaa mstari mzima ni watu wa aina fulani demokrasia ni ushirikishwaji wa kila mmoja wetu.

Mongella.jpg
 
RAIS wa Kwanza wa Bunge la Afrika, Balozi Getrude Mongella amesema demokrasia ni ushirikishwaji wa kila mmoja na kwamba huwezi kutofautisha usawa wa binadamu na demokrasia. Amesema “Unapokuwa unaamini usawa wa binadamu ukiacha baadhi ya binadamu nje wewe ni mnafiki.

Huwezi ukasimama hapa ukazungumza demokrasi, ambayo watu wengine ni wakutafuta. Unafika kwenye vikao afadhari hapa tumechanganyika. Kuna vikao unakaa mstari mzima ni watu wa aina fulani demokrasia ni ushirikishwaji wa kila mmoja wetu.

I just love this mama very much...Very objective, exact and to the point. Her confidence amuses me so much.

God bless you mama Africa!
 
RAIS wa Kwanza wa Bunge la Afrika, Balozi Getrude Mongella amesema demokrasia ni ushirikishwaji wa kila mmoja na kwamba huwezi kutofautisha usawa wa binadamu na demokrasia. Amesema “Unapokuwa unaamini usawa wa binadamu ukiacha baadhi ya binadamu nje wewe ni mnafiki.

Huwezi ukasimama hapa ukazungumza demokrasi, ambayo watu wengine ni wakutafuta. Unafika kwenye vikao afadhari hapa tumechanganyika. Kuna vikao unakaa mstari mzima ni watu wa aina fulani demokrasia ni ushirikishwaji wa kila mmoja wetu.

Usimwamini mwanasisa
 
Mtoto mwingine yuko PCCB na mtoto wa mwisho yuko TISS. Kuna tatizo ndio
Kama hawana qualifications sawa, lakini kama wana qualify basi ni dhambi kuzaliwa kuwa mtoto wa kiongozi?

Leta hoja nyingine siyo hii...Ukisema aliiba mali ya umma, au wakati wa ajira alipendelewa basi itakuwa ni hoja otherwise, hao pia ni raia wa Tanzania wana haki sawa na wenzao bila kujali wazazi wao ni akina nani
 
Kama hawana qualifications sawa, lakini kama wana qualify basi ni dhambi kuzaliwa kuwa mtoto wa kiongozi?

Leta hoja nyingine siyo hii...Ukisema aliiba mali ya umma, au wakati wa ajira alipendelewa basi itakuwa ni hoja otherwise, hao pia ni raia wa Tanzania wana haki sawa na wenzao bila kujali wazazi wao ni akina nani
Mwenye kufahamu baba yao anyooshe kidole.
 
Mama Getu anapiga picha nyeti za kuku (namkubuka mzee Lembeli)
 
Back
Top Bottom